Mkuu me sina kadi ya kwenye kongamano![]()
![]()
si kwenye kongamano utakuwepo?
nimecheka sana hapo kwenye samaki kuzama!;
Duuh cheti kimeungua alaf atakayekiona aripoti kituo cha polisi,si bora wangesema uripoti kituo cha zimamoto waje wachukue majivu.Ongeza na hiiView attachment 777668
Sure lakini unajua mwisho una viashiria vyake!Wasted energy