Bzimana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 554
- 161
Sisi tulipata watu kumi ktk tawi letu, na mikataba tulijaza tarhe 4 mwez huu, ila hadi leo tumebaki wawili tu, wengine wamesepa, mim mwenyewe nipo njiani kuacha, benk haina hata flayers, malipo kiduchu then vitu kibao mnajitegemea, kaz inahitaji kupiga simu mara kwa mara benk lakini hakuna allowance yeyote.
kazi kama hii bado tu upo hongera sana, sasa si bora utembeze mitumba unaweza pata zaidi ya buku 4 kwa siku