Jplus Jr
Senior Member
- Dec 29, 2018
- 124
- 147
Ukiwa na pesa binadamu watakuheshimu, watakusiliza, watakunyenyekea, watakupenda si kwa sababu ni upendo wa moyoni ila ni kwasababu una pesa.
Lakini pia ni binadamu hao kama huna pesa yote niliyotaja hapo juu na mengine mengi kamwe huwezi yapata toka kwa binadamu ni nadra sana.
Ni binadamu hao hao ambao ukiwa na pesa na ukaja kuishiwa wanabadilika pia na hawakuthamin wala kukujal tena. Ni ni hao hao binadamu ambao hawaweza tena kukusaidia kwakuwa tu ulishafulia.
Ni binadamu hao hao ukiwa na shida tu kama ugonjwa au uhitaji wa kitu fulani ukiomba kusaidiwa hakuna anaejali hata kidogo, na ni binadamu hao hao ambao yakikukuta majanga sasa baada ya uhitaji uliokuwa nao, mfano ukafiwa au kufariki ww mwenyewe utaona wanasikitika sana na kutoa michango ya kujionesha. Ilihali wakati uko hai na una uhitaji hakuna hata aliyekusikiliza wala kukusaidia.
Nini unachojifunza wewe toka kwa binadamu kwa hizo tabia?
Lakini pia ni binadamu hao kama huna pesa yote niliyotaja hapo juu na mengine mengi kamwe huwezi yapata toka kwa binadamu ni nadra sana.
Ni binadamu hao hao ambao ukiwa na pesa na ukaja kuishiwa wanabadilika pia na hawakuthamin wala kukujal tena. Ni ni hao hao binadamu ambao hawaweza tena kukusaidia kwakuwa tu ulishafulia.
Ni binadamu hao hao ukiwa na shida tu kama ugonjwa au uhitaji wa kitu fulani ukiomba kusaidiwa hakuna anaejali hata kidogo, na ni binadamu hao hao ambao yakikukuta majanga sasa baada ya uhitaji uliokuwa nao, mfano ukafiwa au kufariki ww mwenyewe utaona wanasikitika sana na kutoa michango ya kujionesha. Ilihali wakati uko hai na una uhitaji hakuna hata aliyekusikiliza wala kukusaidia.
Nini unachojifunza wewe toka kwa binadamu kwa hizo tabia?