Hawa ndio baadhi ya wanaJF na tabia zao halisi

Hawa ndio baadhi ya wanaJF na tabia zao halisi

Gazaniga

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
1,051
Reaction score
360
Habarini

Usiniulize nimejuaje,huu ni mtazamo wenye asilimia nyingi za tabia zao halisi na nitawaweka kimakundi ikiwa wanafanana kitabia,na pia wengine wanafit sehemu mbili,naanza:-

■ Wanawake warembo/Wanaovutia saaana JF kwa mwaka 2015/2016

-Mahondaw
-Dinazade
-Madam S
-Farkhina
-Lucyline

■ Wanajamvi wakali wa Lugha ya kiingereza

-Kiranga
-Tyta
-OleSaidimu
-Ishmael
-Paulo sergio de souz
-Nyani Ngabu
-FaizaFoxy


■ Mlokole halisi

-Illovo (Mchungaji wa pentekoste)


■ Walokole kiasi(Vuguvugu)

-Tamalisa
-Pesa ndogo
-Anna Mwakalinga


■ Vichaa wa kuigiza na wasiojali (Dont care) na watoto wakiswahili ambao wakishika pesa wanawake watawakoma:

-Supu ya Mawe
-GENTAMYCINE
-Lukelo Sakafu
-Mapengo 17
-Kilaza
-Dog of god

■ Watoto wa mama wanaotumia JF kukomaa kimaisha

-Bull dog
-Paulo Sergio de souz
-BAK

■ WazeeVijana,hawa hawazeeki na hawapitwi na wakati:

-Asprin (anaweza akampeleka binti sehemu zote za kulia bata Tanzania hii)

-MziziMkavu (anaweza akatumia mambo yake flan flan kama kuigiza kiganga kiganga kuchukuwa watoto wazuri)

■ Wapenda pesa Maarufu na mapenzi ni dharura

-Miss chagga(yuko mwenyewe)

■ Wapenda pesa na starehe kwa ujumla

-Lara 1 (Mwenyekiti)
-Apologies girl
-Heaven on earth

■ Wenye majibu ya hekima na ushauri ila hawaeleweki saana kitabia

-Mamndenyi (Huyu sijui ni mwalimu ama Nesi? Sijui)
-KikulachoChako
-Ruttashobolwa
-Mimi
-MO11
-Kingkong

■ Wenye Misimamo mikuu wasioweweseka na wanaostick kwenye wanachokiamini tu:

-FaizaFoxy (Mwenyekiti)
-gfsonwin
-Mohamed Said
-Ally kombo
-Ishmael

■ Asiyefundishwa wala kudanganywa kuhusu Wanaume hapa chini ya jua na mwenye experience kupita kiasi:

-Marytina (yuko peke yake)


■ Wanaojua umbea wa Mastaa wote wa Bongo na kupenda bongo flavas na movies na wasiojali kuitwa wambea:

-Warumi(Mwenyekiti)
-Nifah(katibu)
-Dinazade
-Diva Beyonce
-Mzurimie

Kama haupo kwenye list hapo juu,jua bado hujawa famous JF, jitahidi.
 
Kwa wenye misimamo hapo sipingi....
 
BAK mkuu embu pita na huku
 
Last edited by a moderator:
ina maana one star general kozo okamoto siyo famous humu jukwaani?
n'way,huyo faiza foxy muweke kundi la wachawi wasiojitambua
 
Acha uzushi wewe!!! Watu wamepiga kura lini na wapi!? Acheni kuleta uzushi hapa wa kurukia watu ambao hamuwajui wala hamjui chochote kuhusu watu hao na kujibaraguza na threads zenu zisizo za mashiko kujifanya mnawajua ili kutafuta umaarufu kwa nguvu. Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya kuandika uzushi kama huu. Threads kama hizi ndizo zinazochangia kuongezeka upumbavu hapa jamvini na kushusha hadhi ya JF iliyokuwepo miaka ya nyuma.

Watu wamepiga kura kwa kadri wawezavyo mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom