Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,320
- 6,806
Wote wanaume thats whywanafanana............., tehetehe.........................acheni umbea! jamani.................
The late Ahmed Hassan Diria kafanana na Amani Abeid Karume Kwahiyo OP anauliza kulikoni?
aaaaaaaaaaaaah bwana hawa si ni ndugu au??
watu wambea jamani
Wote wanaume thats whywanafanana............., tehetehe.........................acheni umbea! jamani.................
mmmh!!!! ila mbona huyo jamaa mwenye upara wa ajabu anaonekana kama alikuwa mtaalam wa kujitwika vyungu enzi za utoto waka???
Sasa huyu sijui vipi........
May be anataka afanane na Jirani, which is too bad.... ujirani utakufa na hata kuchomeana nyumba!!!Kwani ni kosa mtoto kumfanana baba yake?
Kwani huyu mwanamke? Mbona hafanani nao....nasikia ndio handsome BUNDA yote ndio maana anachakulika
Picha imenishitua, nusu niirushe laptop mita 6......!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hii nimeipenda...Na hawa je? Baba zao walikuwa marafiki.....
mi simo
Na hawa je? Baba zao walikuwa marafiki.....