Hawa 'Maprince' wanaendeleaje?

Hawa 'Maprince' wanaendeleaje?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,348
Reaction score
26,145
Wabunge wa Chalinze (Ridhiwani Kikwete) na wa Kalenga (Geofrey Mgimwa) wanaendeleaje? Hawa wote ni 'wana mfalme' walorithi mikoba ya uongozi toka kwa baba zao wazazi. Ridhiwani Kikwete ni mtoto wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyewahi kuwa Mbunge wa Chalinze. Naye Geofrey Mgimwa ni mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa Kalenga hayati Dr. Mgimwa.

Hawa Wabunge wote wamerithi mikoba ya baba zao katika chaguzi ndogo. Wanaendeleaje Maprince hawa na utimizaji wa ahadi zao? Bungeni wako kimya sana kwakweli.
 
hawajaingia bungeni kuchangia...wameingia kupata jina na posho [prince wa iringa]..na yule prince wa bagamoyo yeye yupo bungeni sababu mfalme alitaka awepo
 
Hahaha price wa mfalme nadhani yuko china amesafirisha unga..
 
Kwa sasa wanajiandaa na kampeni. Tayari wameshatimiza ahadi zao, wapiga kura wao hawana shida yoyote hivyo hawana sababu ya kusema chochote mjengoni
 
Ndugu Petro E. Mselewa mwana mfalme Geofrey Mgimwa yeye kisheria ndo Prince hasa kwa tafsiri halisi ya mwana mfalme kwa kuwa alirithishwa kiti baada ya kifo cha baba yake. Ndugu Ridhwan Kikwete si mwanamfalme kwa tafsiri ya kurithishwa kwa maana hakupokea kijiti toka kwa baba yake isipokuwa alichukua toka kwa bwana mdogo. Hivyo basi tuweke kumbu kumbu sawa kwa kumtambua ndugu Ridhwan kama mwana wa ukoo wa Mfalme! Narudisha hoja kwako mtoa mada!
 
Last edited by a moderator:
Wabunge wa Chalinze (Ridhiwani Kikwete) na wa Kalenga (Geofrey Mgimwa) wanaendeleaje? Hawa wote ni 'wana mfalme' walorithi mikoba ya uongozi toka kwa baba zao wazazi. Ridhiwani Kikwete ni mtoto wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyewahi kuwa Mbunge wa Chalinze. Naye Geofrey Mgimwa ni mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa Kalenga hayati Dr. Mgimwa.

Hawa Wabunge wote wamerithi mikoba ya baba zao katika chaguzi ndogo. Wanaendeleaje Maprince hawa na utimizaji wa ahadi zao? Bungeni wako kimya sana kwakweli.

Alafu ma princess ndo kina christina Lissu na mtoto wa ndessambulo etii?
 
kinyesi

Wabunge wa Chalinze (Ridhiwani Kikwete) na wa Kalenga (Geofrey Mgimwa) wanaendeleaje? Hawa wote ni 'wana mfalme' walorithi mikoba ya uongozi toka kwa baba zao wazazi. Ridhiwani Kikwete ni mtoto wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyewahi kuwa Mbunge wa Chalinze. Naye Geofrey Mgimwa ni mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa Kalenga hayati Dr. Mgimwa.

Hawa Wabunge wote wamerithi mikoba ya baba zao katika chaguzi ndogo. Wanaendeleaje Maprince hawa na utimizaji wa ahadi zao? Bungeni wako kimya sana kwakweli.
 
Hao wameingia bungeni ili kuongeza kura za ndio ili miswada na sheria kandamizi ziendelee kutamalaki! Watanzania tusisahau oktoba, wanigeria wameshaanza! Ccm wamelewa madaraka, they must go!
 
Maprince wamejaa CDM pia hatuwaoni? Tukijadili masuala ya kurithishana au kupeana ubunge tuangalie vyama vyote. Mtei kamwachia mkwe Mbowe kua mwenyekiti wa chama. Ndesa mwanaye mbunge wa viti maalumu lisu dadake angalau hao maprince unaowasema wamegombea jimboni
 
Yani hakuna lolote hawa,wapowapo tu kule.Maskini wananchi wa maeneo yao! wanawakilishwa na mbulula.
 
Maprince wamejaa CDM pia hatuwaoni? Tukijadili masuala ya kurithishana au kupeana ubunge tuangalie vyama vyote. Mtei kamwachia mkwe Mbowe kua mwenyekiti wa chama. Ndesa mwanaye mbunge wa viti maalumu lisu dadake angalau hao maprince unaowasema wamegombea jimboni

Pia Slaa amempa mzazi mwenzie shavu n mbunge viti maalumu,huku mchumba wake ni katibu wa ofic kuu Ufipa
 
Back
Top Bottom