Hawa madem wamekuaje mazee!!

Hawa madem wamekuaje mazee!!

bhikola

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,133
Reaction score
1,668
Wana JF heshima mbele, na poleni sana na overhang or sorry hangover ya blue monday
last week nilikuwa pande za mo twn (moshi), club moja hivi inaitwa malindi, infact nilikwenda pale kuwinda baada ya mzunguko mrefu na dhaifu, c unajua dhaifu alikuwa pande zile. sasa katika kuwinda nikakutana na "fisi maji", kuuliza dau, naambiwa 50 for 2hrs;
nikauliza na tiketi ya kurudi dsm humohumo?
haaa!! mchuchu anastuka, kumbe unarudi dsm basi tulale wote na kesho tuondoke wote kabisa, mi pia nakaa dsm, mitaa ya sinza kijiweni, unajua nini? Aunt Ezekiel yule ni twin wangu kabisa, yeye kulwa miye doto.
nikasema tobaaaaaaaa; nikamwita na muhudumu kabisa, aisee naomba bili yng, nikalipa nikasepa, maana niliona usiku wangu utaharibika soon.
sasa jana bana, niko pande za morogoro, kijiwe kinaitwa mzuwanda pub, hapo barabara ya iringa; nimetulia zangu napata "haramu" nimeagiza kg yangu 1, kachumbali ya buku, na ndizi 2. nishatupia eagle kama 3 hivi. Basi likajitokeza dege moja, nikaona aaah isiwe taabu, raha ya kipele ukucha; na tamu ya bia bana company. tumekaa pale natoa interest zangu, demu mara ooh, mi siyo cheap kihivyo, unajua mi na Husein Machozi ndugu, tumeshare mama ila baba tofauti
aaaaaaaaah shit! nikaona yaleyale
nikatupia haramu yangu fasta, nikahama na kiwanja
sasa nashindwa kuelewa, hivi hawa madege siku hizi wameona ndiyo style ya kutafuta influence kuwa nao ni high class au ndo nini?
J3 njema wakuu, najua sasa za week end zimeanza kuisha kichwani
 
Wana JF heshima mbele, na poleni sana na overhang or sorry hangover ya blue monday
last week nilikuwa pande za mo twn (moshi), club moja hivi inaitwa malindi, infact nilikwenda pale kuwinda baada ya mzunguko mrefu na dhaifu, c unajua dhaifu alikuwa pande zile. sasa katika kuwinda nikakutana na "fisi maji", kuuliza dau, naambiwa 50 for 2hrs;
nikauliza na tiketi ya kurudi dsm humohumo?
haaa!! mchuchu anastuka, kumbe unarudi dsm basi tulale wote na kesho tuondoke wote kabisa, mi pia nakaa dsm, mitaa ya sinza kijiweni, unajua nini? Aunt Ezekiel yule ni twin wangu kabisa, yeye kulwa miye doto.
nikasema tobaaaaaaaa; nikamwita na muhudumu kabisa, aisee naomba bili yng, nikalipa nikasepa, maana niliona usiku wangu utaharibika soon.
sasa jana bana, niko pande za morogoro, kijiwe kinaitwa mzuwanda pub, hapo barabara ya iringa; nimetulia zangu napata "haramu" nimeagiza kg yangu 1, kachumbali ya buku, na ndizi 2. nishatupia eagle kama 3 hivi. Basi likajitokeza dege moja, nikaona aaah isiwe taabu, raha ya kipele ukucha; na tamu ya bia bana company. tumekaa pale natoa interest zangu, demu mara ooh, mi siyo cheap kihivyo, unajua mi na Husein Machozi ndugu, tumeshare mama ila baba tofauti
aaaaaaaaah shit! nikaona yaleyale
nikatupia haramu yangu fasta, nikahama na kiwanja
sasa nashindwa kuelewa, hivi hawa madege siku hizi wameona ndiyo style ya kutafuta influence kuwa nao ni high class au ndo nini?
J3 njema wakuu, najua sasa za week end zimeanza kuisha kichwani
hapo kwenye red, MZIWANDA
pale madereva wa malori ya mbeya, zambia lazima wafunge breki, walegeze viungo
 
unalitafuta kaburi ww.. Sku hizi na arvs zenyewe feki. So kifo juu ya kifo
 
Mziwanda, Mriti, na Mwika karibuni sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
wote wana do, tunaosema tunaoneka victims tu! hujiulizi watoto wa single parents wanaongezekaje? hujiulizi mimba zisizotarajiwa zinatokea wapi? au ni condom feki nazo zinapitisha sperms?
watu wengi wanabeba condoms lakini hawazitumii huo ndo ukweli! hujiulizi kwanini utafiti wa hivi karibuni umeonesha machangu wa dsm wameongeza maambukizi?! inamaana wateja wao hawatumii, na wateja wao ni kina nani kama si sisi memba wa JF?
usikimbie tatizo ili kulitatua, likabili na litatue
anyway am mature enough to do what i wanna do, and i know what am doing
open ya eyez and see within
 
hao dawa yao moja tuu nikuwaomba tigo na kwaambia ebu muite na huyu ndugu yako kama demu nawaonje wote kwa mpigo
 
Inaonekana ww nmtalamu.pesa zaifu zinakuwasha.
jehanamu hiyooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!?******
 
Unausambaza kama hauna akili vizuri!
 
Back
Top Bottom