Hawa jamaa wanatisha

Hawa jamaa wanatisha

Mbona wao kila siku wanawashambulia kwa makombora hao jamaa na kuwaangamiza kila uchao...???
 
Dah kumbe watanzania wengi hawajasoma na hata wenye shahada vichwa vyao vimejaa maji.. kaeni na ujinga wenu wa kutopenda kufatilia mambo.. Hivi unajua chanzo cha IS? Unajua nini America imefanya baada ya kukataliwa kuingia Syria na Its allies Russia?
Unajua Foreign Policy ya America ya Intervention and Construction maana yake nini?
Unajua kama hao IS ni agenda ya America kutaka kuipiga Syria?
Friends someni na muwe mnafatilia siasa za Amerika, msikurupe na kuanza kuusema uislamu., Akili visoda.:A S-baby:

Mkuu hata wakisoma hawatalewa kwani tayari ndani ya mioyo yao kumejaa chuki kali dhidi ya uislamu....
 
Viranja wa dunia hii ndio watengenezayo haya yaonekanayo sasa...
 
Mtazunguka tu chanzo cha ugaidi duniani ni wazungu.na hasa wamarekani mzungu ni shetani
 
wanapigania dini. waislam wa tz hawajaandamana wala kutoa tamko hata mara moja. silence means wanawasapoti hao wauaji kwasababu wanapigania dini yao. ila mtume akichorwa hapo wanaandamana na kusababisha hadi kifo.


Acha ujinga,wakati LORD RESISTANCE ARMY chini ya uongozi wa joseph konyi,wanauwa wanawake na watoto kule uganda,mbona kanisa na wakristo hawakuandamana kupinga,je tuseme walikuwa wanaunga mkono vita vyao vya kutaka kuitawala Uganda kwa amri kumi za Mungu?
 
Back
Top Bottom