Tizama vizuri hiyo picha hilo ni doli sio Mnyama halisiNo matter what, huu ni ukatili usio na mfano. Ukemewe.
No matter what, huu ni ukatili usio na mfano. Ukemewe.
Mmmmm sio paka huyuJe ni udini ulioletwa na serikali ya JK au ndio kusema paka huyu ni mwizi wa kitoweo kiasi kwamba imebidi asulubiwe msalabani?? Sina jibu ila maswali kibao.
Sheria ipo!Kuna haja ya kutunga sheria ya kulinda wanyama.... Hii ni aibu na unyama mkubwa kwa wanadamu
Je ni udini ulioletwa na serikali ya JK au ndio kusema paka huyu ni mwizi wa kitoweo kiasi kwamba imebidi asulubiwe msalabani?? Sina jibu ila maswali kibao.