Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,978
Haya mambo ya alien mimi huwa naona ni story za kuchangamsha genge tu.
Ila kitu ambacho wengi hawajui ni kwamba sisi binadamu wenyewe ndio Aliens. Yes we are the acient aliens...
Hivi unadhani zile underground tunnels zenye maelfu ya miaka unadhani nani alizijenga?.Unadhani kwa nini kuna story red indians wanadai waliwahi kuishi chini ya aridhi?
Unadhani kwa nini kuna jamaa mmoja ambae wanamwita Baba wa silaha za nyukilia. Aliwahi kusema "Bomu la nyukilia alilotengeneza, sio mara ya kwanza kuwepo duniani.Ila ameirejesha siraha iliyowahi kutumika ikapotea". Unajua kwa nini?
Kuna evidence vinaonyesha kuwepo kwa vita ya nyukilia mamilioni ya miaka iliyopita (ukitaka nitakuletea).Unajua hiyo vita ilikuwa kati ya nani na nani?.Na kuna evidence ya mifupa ya watu walikufa zamani Sana katika vita hiyo.
Unajua kwamba Adam na Hawa sio binadamu wa kwanza kuwepo?.Serpent (shetani) anayetajwa kumdanganya Adam na Hawa unamjua?. Unajua kwa nini licha ya Serpent kumdanganya Adam kwa nini hakuangamizwa na huyo mnayemuita Mungu (japo kiuhalisia hamjaelewa maandiko).
Hivi unajua kwa nini karibia kila dini ina kasumba ya kuweka mawazo kuonyesha kwamba hapa duniani sio kwetu?.Kila dini huwa inatushawishi kuamini kuna mahali pazuri zaidi sisi kuishi nje ya hapa duniani?. Kama sivyo basi itasema our ancestor hawana origin ya hapa duniani, unajua kwa nini?. It is because we are aliens
Kuna aina tofauti ya aliens.Watafiti wa mambo ya aliens wanadai, Kuna aina fulani ya aliens huwa wanadai hii dunia ni yao na sisi ni wakimbizi kwa hiyo wana mpango wa kutuondosha.Unajua kwa nini wanadai hapa ndio kwao na sisi ni wakuja?
WE ARE ALIENS or OUR ANCESTOR ARE ALIENS.
Ila kitu ambacho wengi hawajui ni kwamba sisi binadamu wenyewe ndio Aliens. Yes we are the acient aliens...
Hivi unadhani zile underground tunnels zenye maelfu ya miaka unadhani nani alizijenga?.Unadhani kwa nini kuna story red indians wanadai waliwahi kuishi chini ya aridhi?
Unadhani kwa nini kuna jamaa mmoja ambae wanamwita Baba wa silaha za nyukilia. Aliwahi kusema "Bomu la nyukilia alilotengeneza, sio mara ya kwanza kuwepo duniani.Ila ameirejesha siraha iliyowahi kutumika ikapotea". Unajua kwa nini?
Kuna evidence vinaonyesha kuwepo kwa vita ya nyukilia mamilioni ya miaka iliyopita (ukitaka nitakuletea).Unajua hiyo vita ilikuwa kati ya nani na nani?.Na kuna evidence ya mifupa ya watu walikufa zamani Sana katika vita hiyo.
Unajua kwamba Adam na Hawa sio binadamu wa kwanza kuwepo?.Serpent (shetani) anayetajwa kumdanganya Adam na Hawa unamjua?. Unajua kwa nini licha ya Serpent kumdanganya Adam kwa nini hakuangamizwa na huyo mnayemuita Mungu (japo kiuhalisia hamjaelewa maandiko).
Hivi unajua kwa nini karibia kila dini ina kasumba ya kuweka mawazo kuonyesha kwamba hapa duniani sio kwetu?.Kila dini huwa inatushawishi kuamini kuna mahali pazuri zaidi sisi kuishi nje ya hapa duniani?. Kama sivyo basi itasema our ancestor hawana origin ya hapa duniani, unajua kwa nini?. It is because we are aliens
Kuna aina tofauti ya aliens.Watafiti wa mambo ya aliens wanadai, Kuna aina fulani ya aliens huwa wanadai hii dunia ni yao na sisi ni wakimbizi kwa hiyo wana mpango wa kutuondosha.Unajua kwa nini wanadai hapa ndio kwao na sisi ni wakuja?
WE ARE ALIENS or OUR ANCESTOR ARE ALIENS.

