Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,761
- 2,311
NimechekaaWengine wanaviita malaika, wengine wanaviita vibwengo yaani ni vurugu vurugu
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Sent using Jamii Forums mobile app
NimechekaaWengine wanaviita malaika, wengine wanaviita vibwengo yaani ni vurugu vurugu
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Kuna miaka walifika Zimbabwe na watoto wadg wanafunzi waliwashuhudia.harafu hawa viumbe wana upendeleo(maana @ siku utasikia wametua America tu), mbona Africa yetu hawaji, ama sisi waafrica tumesha tengwa hadi na viumbe wa sayari zingine?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu nasikia walikuja ni maeneo ya Zambia watu wakajifungia ndani. Wengine wakadai ni kimbegwo wengine wanasema ni mauzauza tuMbona hao wapo wengi sana wanatembeleaga Afrika lakini kila wakifika wanakuta waafrika wamelala usiku wa saa tisa wanarudi kwao,tataizo tukiwaona tunakimbia na wao hawapendi kukimbiwa
Kuna sehemu nasikia walikuja ni maeneo ya Zambia watu wakajifungia ndani. Wengine wakadai ni kimbegwo wengine wanasema ni mauzauza tu
Sent using Infinix hot 4
Nimepata kigugumizi katika kuunganisha matukio hayo ndo maana nikauleta uzi huku nipate mawazo kidogo
Sent using Infinix hot 4
Waliwahi kufika kijijini kwetu Kindimba chini Mbinga watu walitimbua mbio mno hao jamaa hawapendi fujo wakaondoka ,kwa ufupi wanapenda sana kutembelea Afrika lakini sisi tunawakimbia ndio maana wametususa nakutujambia sasa hivi hatuna tunalofanya na kufanikiwa