Ni kweli mzee hapo zinapigwa hesabu kali sana!Hapo zinapigwa "hesabu" kali....tafakuri za options mbalimbali.
We unaona unavovaa modo ndio ujanja? Hizo nguo zimewafit kabisa!Hivi kwann mafundi wao wanawashonea manguo makubwa makubwa? Inamaana hakuna suti zinazoendana na miili yao??
Goddess IsisWamependeza sana jamani!
Mashalaa walahi!
hahaa jiwe anajifanyaga mbabe anampondaga mwenzake kwenye majukwaa lakinia hapo anashidwa kumwangalia machoni.Wanaoneana aibu
Wakue nazo nahisiHivi kwann mafundi wao wanawashonea manguo makubwa makubwa? Inamaana hakuna suti zinazoendana na miili yao??
Nidhamu na utii ni hekima tosha kwa binadamu aliyelelewa kwenye maadili sahihi.Washamba tu hawana lolote
Watu na heshima zao hao, hawawezi kuvaa modo, wamependeza.We unaona unavovaa modo ndio ujanja? Hizo nguo zimewafit kabisa!
Urais ni kazi ngumu sana yenye mastress kibao.Hapo mambo magumu... Kuna jambo Mzee limemtoa Zanzibar.. Kuja kujadili na Mkuu, lakini limekosa ufumbuzi.. Siku ilikuwa ngumu Sana hii. We acha tu,!!!