Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,382
- 13,194
Duh jamaa hawana fire extinguisher? Wanazima moto kwa kupepea Mashati?Hii video live ya mabomu, unaona yalikuwa yanadondoshwa tu mtaani na sio ku target jengo
View attachment 1783062
Hii video ya impact barabarani watu walivyojeruhiwa ama kufa. Hapa ndio wanadanganya dunia kuwa wanaowapiga Hamas,
View attachment 1783067
Kinachofanyika huko sasa hivi ni genocide, kuna Settlers 3000 wa ki Israel wanatafutiwa PA kukaa.
Ila wasikae mahari panaporushwa rockets maana yake Israel analipua eneo hilo kwa upana ili hata walipuaji wakikimbia wamalizwe not one missile lazima iwe randomnly