Hawa Israel kweli ni wanadamu?

Hawa Israel kweli ni wanadamu?

Wala msishangae hili ni andiko kutoka kwenye bible, bado tu andiko moja kutimia lile la jengo la mfalme sulemani kubomolewa na kujengwa kwa siku moja
 
Hii video live ya mabomu, unaona yalikuwa yanadondoshwa tu mtaani na sio ku target jengo
View attachment 1783062
Hii video ya impact barabarani watu walivyojeruhiwa ama kufa. Hapa ndio wanadanganya dunia kuwa wanaowapiga Hamas,
View attachment 1783067

Kinachofanyika huko sasa hivi ni genocide, kuna Settlers 3000 wa ki Israel wanatafutiwa PA kukaa.
Duh, wanapiga live street aiseee noma
 
Kusema ukweli kama ukabila, udini sasa inatosha. Kitendo cha kufanya watu wa Gaza, Palestina kuwa sehemu ya kuwashuhudia wakipoteza ndugu na jamaa kwa hili si jema. Hizi ni picha ambazo wapo washuhudia mabomu yanavo rushwa.

Kusimame dunia nzima kupinga haya sisi ni wanadamu

======

s the sun begins to sink over the Mediterranean, groups of Israelis gather each evening on hilltops close to the Gaza border to cheer, whoop and whistle as bombs rain down on people in a hellish warzone a few miles away.

Old sofas, garden chairs, battered car seats and upturned crates provide seating for the spectators. On one hilltop, a swing has been attached to the branches of a pine tree, allowing its occupant to sway gently in the breeze. Some bring bottles of beer or soft drinks and snacks.



Hapo wanaweza kuwa wanatamani waone live huko Street maafa yanavyotokea
 
Hii video live ya mabomu, unaona yalikuwa yanadondoshwa tu mtaani na sio ku target jengo
View attachment 1783062
Hii video ya impact barabarani watu walivyojeruhiwa ama kufa. Hapa ndio wanadanganya dunia kuwa wanaowapiga Hamas,
View attachment 1783067

Kinachofanyika huko sasa hivi ni genocide, kuna Settlers 3000 wa ki Israel wanatafutiwa PA kukaa.
mashariki ya kati imejaa waarabu wenye pesa nyingi sana sana lakini akili kidogo....kiinchi kidogo kinagawa kichapo kila kona jamaa wamebaki kufuga ndevu tu...
 
Hao hamasi ndo wanazingua wao ndo wakwanza kulusha mabom na ndo wakwanza kulialia pia ndo wanasababisha maisha ya wapalestina yanakuwa magum.
Mkuu nakushauri jitahidi kupitia historia ya kweli kuhusu Taifa la Kipalestina kabla ya mwaka 1948, halafu rudi hapa utupatie mrejesho - kwa taarifa yako Wayahudi ni binadamu wakatili sana, wenye akili za kikaburu , ,wajivuni na wapitoshaji kupindukia.

Kila siku wanazuga Dunia kwamba wanaonewa na Wapalestina wakati hiyo si kweli hata kidogo, hivi inaingia akilini kwamba Wapalestina ambao hawana ndege za kivita, vifaru, artillery na magari ya deraya wanaweza kweli kuwa tishio kwa Taifa la Israel?

Kinyume chake Wayahudi ndio wanapora aridhi ya Wapalestina na kujitanua kwa kujenga makazi ya walowezi kwenye aridhi ya Wapalestina ,wana wapora Wapalestina nyumba zao na kuwapatia Waisrael walowezi kutoka Ulaya na Amerika, hawajali kama familia za Kipalestina zilikuwa zinaishi hapo tangu miaka ya 1940s!! Jamaa hawa hawana UTU hata kidogo,any level headed person hawezi kutetea binadamu wenye akili za Lucifer na kibaguzi.
 
Israel kuna watu wakatili sana. Ila wameishika dunia. Kila mtu anawaonea huruma sababu ya Hitler na upuuzi wake. Ndio watoto wa babu Ibrahimu wanavyosambaratishana huko Mashariki ya kati. The real brothers
Jiulize wangekuwa wana hali gani wasingekuwa na mfumo wa kupangua maroketi ya Hamas

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom