The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,284
Kwa sababu walitaka iwe hivyo.kwani nani alianzisha vita hapo?aliyeanza kutaka kuua wenzie ndio hapaswi kuaminiwa hapo.Kwanini Israel inakalia kwa mabavu makaazi ya Palestina
Kwa sababu walitaka iwe hivyo.kwani nani alianzisha vita hapo?aliyeanza kutaka kuua wenzie ndio hapaswi kuaminiwa hapo.Kwanini Israel inakalia kwa mabavu makaazi ya Palestina
Wanashangaza sana wafuasi wa Mwamedi wa MeccaWavaa vipedo bhanaView attachment 1783001
Wenye roho mbaya ni Magaidi ya Kiislam wanaoua watu ili wakapate mabikira 72 AkheraIsrael kuna watu wakatili sana. Ila wameishika dunia. Kila mtu anawaonea huruma sababu ya Hitler na upuuzi wake. Ndio watoto wa babu Ibrahimu wanavyosambaratishana huko Mashariki ya kati. The real brothers
Duh, wanapiga live street aiseee nomaHii video live ya mabomu, unaona yalikuwa yanadondoshwa tu mtaani na sio ku target jengo
View attachment 1783062
Hii video ya impact barabarani watu walivyojeruhiwa ama kufa. Hapa ndio wanadanganya dunia kuwa wanaowapiga Hamas,
View attachment 1783067
Kinachofanyika huko sasa hivi ni genocide, kuna Settlers 3000 wa ki Israel wanatafutiwa PA kukaa.
Hapo wanaweza kuwa wanatamani waone live huko Street maafa yanavyotokeaKusema ukweli kama ukabila, udini sasa inatosha. Kitendo cha kufanya watu wa Gaza, Palestina kuwa sehemu ya kuwashuhudia wakipoteza ndugu na jamaa kwa hili si jema. Hizi ni picha ambazo wapo washuhudia mabomu yanavo rushwa.
Kusimame dunia nzima kupinga haya sisi ni wanadamu
======
s the sun begins to sink over the Mediterranean, groups of Israelis gather each evening on hilltops close to the Gaza border to cheer, whoop and whistle as bombs rain down on people in a hellish warzone a few miles away.
Old sofas, garden chairs, battered car seats and upturned crates provide seating for the spectators. On one hilltop, a swing has been attached to the branches of a pine tree, allowing its occupant to sway gently in the breeze. Some bring bottles of beer or soft drinks and snacks.
![]()
Israelis gather on hillsides to watch and cheer as military drops bombs on Gaza
Harriet Sherwood: People drink, snack and pose for selfies against a background of explosions as Palestinian death toll mounts in ongoing offensivewww.theguardian.com
Kama hawana cha kupoteza kelele za nini?Vita haitoisha na Israel haitakaa kwa amani kama wanavyotaka, Palestina hawana cha kupoteza View attachment 1783030
Bikra 72 ni zawadi? Dini nyingine utata!Wenye roho mbaya ni Magaidi ya Kiislam wanaoua watu ili wakapate mabikira 72 Akhera
Potelea mbali, ilimradi waarabu wananyooshwa. Waarabu wanajiona wao ndo wao na dini yao ndo bora.Wanakuita nyani hata kama ukiipenda
mashariki ya kati imejaa waarabu wenye pesa nyingi sana sana lakini akili kidogo....kiinchi kidogo kinagawa kichapo kila kona jamaa wamebaki kufuga ndevu tu...Hii video live ya mabomu, unaona yalikuwa yanadondoshwa tu mtaani na sio ku target jengo
View attachment 1783062
Hii video ya impact barabarani watu walivyojeruhiwa ama kufa. Hapa ndio wanadanganya dunia kuwa wanaowapiga Hamas,
View attachment 1783067
Kinachofanyika huko sasa hivi ni genocide, kuna Settlers 3000 wa ki Israel wanatafutiwa PA kukaa.
Hizi dini ndo zinaponichoshaga kabisa...inakuwaje sasa Allah asizuie haya mauaji? na kwa upande mwingine inakuwaje Mungu wa wayahudi aruhusu umwagaji huu wa damu?Dahh! Hatari sana Mkuu .. Waliodhulumiwa Allah awape makazi Mema
Mkuu nakushauri jitahidi kupitia historia ya kweli kuhusu Taifa la Kipalestina kabla ya mwaka 1948, halafu rudi hapa utupatie mrejesho - kwa taarifa yako Wayahudi ni binadamu wakatili sana, wenye akili za kikaburu , ,wajivuni na wapitoshaji kupindukia.Hao hamasi ndo wanazingua wao ndo wakwanza kulusha mabom na ndo wakwanza kulialia pia ndo wanasababisha maisha ya wapalestina yanakuwa magum.
Jiulize wangekuwa wana hali gani wasingekuwa na mfumo wa kupangua maroketi ya HamasIsrael kuna watu wakatili sana. Ila wameishika dunia. Kila mtu anawaonea huruma sababu ya Hitler na upuuzi wake. Ndio watoto wa babu Ibrahimu wanavyosambaratishana huko Mashariki ya kati. The real brothers