nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 859
Hivi kazi ya TCRA ni nini jamani?mtu anaamua kutunga habari hivi ya uongo na wao wanamuangalia tu manake nini?
Matapeli wa kwenye simu tena kwa mtandao wa serikali wa TTCL wamewashinda nahawa nao wanaojulikana wawashinde kweli?
Rais anadhihakiwa mnaangalia badae mkiwajibishwa mnaanza kulalamika.
Matapeli wa kwenye simu tena kwa mtandao wa serikali wa TTCL wamewashinda nahawa nao wanaojulikana wawashinde kweli?
Rais anadhihakiwa mnaangalia badae mkiwajibishwa mnaanza kulalamika.