Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Aliekuwa* Rais* wa Jamhuri* ya Czeck Vaclav Havel alizikwa jana mjini Prague na maalfu ya watu ikiwa pamoja na wanasiasa mashuhuri kutoka duniani kote.
Rais Sarkozy wa Ufaransa alikuwa miongoni mwa walioyahudhuria maziko hayo.
Wengine walikuwa Waziri wa mambo ya nje wa* Marekani* Hillary* Clinton* na* mumewe , Bill* Clinton aliekuwa Rais wa Marekani.
Rais wa Ujerumani Christian Wulff , Kansela Angela Merkel na Rais wa Kamisheni ya Umoja* wa Ulaya Jose Manuel Barosso pia walikuwapo mjini Prague kwa* ajili za maziko ya Vaclav Havel.
Hayati Havel, aliekuwa* mwandishi mashuhuri wa** tamthilia aliziongoza harakati za kuleta mabadiliko* ya kidemokrasia mnamo mwaka wa 1989 wakati nchi yake ilipokuwa ya kisoshalisti iiyokuwa inaitwa Czechoslovakia. Pia alitoa mchango* mkubwa katika Ulaya* ya mashariki baada* ya Umoja wa* Kisoviet,* Urusi* ya* zamani kusambaratika.
Rais Sarkozy wa Ufaransa alikuwa miongoni mwa walioyahudhuria maziko hayo.
Wengine walikuwa Waziri wa mambo ya nje wa* Marekani* Hillary* Clinton* na* mumewe , Bill* Clinton aliekuwa Rais wa Marekani.
Rais wa Ujerumani Christian Wulff , Kansela Angela Merkel na Rais wa Kamisheni ya Umoja* wa Ulaya Jose Manuel Barosso pia walikuwapo mjini Prague kwa* ajili za maziko ya Vaclav Havel.
Hayati Havel, aliekuwa* mwandishi mashuhuri wa** tamthilia aliziongoza harakati za kuleta mabadiliko* ya kidemokrasia mnamo mwaka wa 1989 wakati nchi yake ilipokuwa ya kisoshalisti iiyokuwa inaitwa Czechoslovakia. Pia alitoa mchango* mkubwa katika Ulaya* ya mashariki baada* ya Umoja wa* Kisoviet,* Urusi* ya* zamani kusambaratika.