Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Lakini hata katika kubip nilikuona unaanzisha thread fulani ikaniletea wasiwasi... lolsio hivyo mwali. siku mbili hizi nilipotea JF kidogo nilikuwa nangia kwa ku beep
Lakini hata katika kubip nilikuona unaanzisha thread fulani ikaniletea wasiwasi... lolsio hivyo mwali. siku mbili hizi nilipotea JF kidogo nilikuwa nangia kwa ku beep
Lakini hata katika kubip nilikuona unaanzisha thread fulani ikaniletea wasiwasi... lol
aaaah, kumbe ulifanya kusudi? that's mean!!! lolnajua sana na nilijua tu utaiona..
I don't think so... :A S 112:
mi mzima wa afya. huyu mpishi naona analeta giza ngoja niingie mwenyewe jikoni. si unajua mimi ni moto wa kuotea mbali.
aaaah, kumbe ulifanya kusudi? that's mean!!! lol
BAK zakupotea mkuu..
Nipenda hiyo meza yako lakini chakula hakina mchuzi dahh
So what happened? I'm confused...sikufanya kusudi ..
Rubani mie niko poa kabisa namshukuru sana Muumba wetu. Mchuzi nimeusahau jikoni ngoja niulete bado na mapochopocho mengi yanakuja....we kaa mkao wa kula tu lakini ujiangalie usivimbiwe lol! Nimefurahi kukuona
Captain
dahhh nawe kwa kujichimbia nakuamini ..
siku ya valentine ukatualika halafu we ukakimbia kimoja lohh.
Haya bana hopeful hutaniangusha tena.. sikujua we muoga hivyo..
bado ninakesi nawe.. hii siiachii hivi hivi tu..
hahahahaha lol! nilivyoona kimya kuhusu case ya Valentine day nikajua nimesamehewa kumbe!!!! lol! Sawa Rubani nitajitahidi kulipia makosa yangu ya siku ile ili kuimaliza kesi hii bila kuwa na varangati la kufa mtu
Usema ukweli sijui utaanzia wapi kujieleza..
Vyovyote vile.. kurasa mbili kama ni PM..
otherwise jieleze vizuri kule kweingine
maana hutapenda niki nuna hahahah lol
hahahahah lol! eti Rubani anataka kununa lol! Bahati nzuri kwangu na bahati mbaya kwako, Rubani hajui kununa lol! hivi mara ya mwisho ulinuna lini vileee!? Nitajieleza tu nina sababu milioni kidogo najua utanisamehe tu au nitaomba msaada wa Doto ili nisamehewe.
hahahahahaah lol
captain we mchokozi
utaona tu we ngoja ni nune..
haya nasubiri hayo maelezo huko kwenye kona ..
halafu kuna taarifa fulani nono nataka nikuelezee..
lakini unatakiwa uniombe msamaha kwanza ..
na ninasubiri hizo sababu za ku potea bila maaelezo
siku takatifu ya wapendanao..
Haya Rubani nitakuja na maelezo ya kutosha kabisa na nina hakika nitasamehewa. Kuhusu hiyo taarifa naisubiri kwa hamu kuu. Naandaa maelezo ya kuomba msamaha page kama sita hivi lol!.
Hiyo meza mbona hakuna kitu? Karibuni sosi home kwangu. Mshindwe wenyewe tuu. . Niko na maiwaifu wangu hapo. Kulia kabisa kule ni Katavi. Tena muwahi tuna ubao hapa