Haukuumbwa na Mungu

Haukuumbwa na Mungu

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,602
Reaction score
1,864
Leo nitakuja na somo lenye kichwa kikisema kuwa

HAUKUUMBWA NA MUNGU
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Ndugu yangu msomaji naomba tumia akili kidogo unaposoma bandiko hili maana litaingia ndani zaidi katika maisha yetu ya kila siku.

Naam ndugu yangu msomaji leo nataka utambue kuwa haukuumbwa na Mungu,
Katika vitabu vya dini izi kubwa tatu tusomavyo viwili vinasema kuwa binadamu aliumbwa siku ya sita na siku ya saba Mungu akapumzika, katika imani ya tatu inasema binadamu mweusi aliumbwa siku ya tano pamoja na wanyama ili awe msaidizi wa binadamu aliyeumbwa siku ya sita.

Basi bwana Mungu baada ya uumbaji akautukuza ulimwengu na kumuweka humo binadamu.

HIVYO BASI HABARI ZA MUNGU NA UUMBAJI ILITAMATIKA SIKU YA SITA (6)
wewe ndugu msomaji ni zao la ufanyaji wa mapenzi wa wazazi wako. Kitu ambacho hata bwana Mungu hakikumfurahisha kwa mara ya kwanza na hii ni kwasababu kuu 3 (KIFO, UZAZI NA UTAFUTAJI)

1. Alijua binadamu wakizaliana na wakawa wengi lazima wafe.
2. Wakizaliana na kuwa wengi watakuwa wanazaliana sana hali itakayowapelekea kupata uchungu.
3. Alijua kila wakiwa wengi ndio liziki yao itazidi kuwa ngumu na kuanza kutafuta kwa jasho na kwa taabu sana.


Hivyo basi kama kuna magumu yeyote unayapitia katika dunia Mungu hapaswi kulaumiwa kwani wewe haukuumbwa na yeye.
Mungu alisha maliza maswala ya uumbaji tokea siku ya sita,

KINACHOENDELEA NI KUWA BINADAMU MNAUMBANA WENYEWE KWA WENYEWE.

Kama binadamu angeacha kuzaa basi binadamu angeshafutika kitambo sana katika ulimwengu.

Uwe na siku njema.
 
Kama si wewe Yesu ningekuwa wapi,

kama si wewe Yesu ningeitwa nani ?

Asante bwana Yesu kwa ukombozi,

Mungu yupo kwa wanaomwamini. kama huamini usilazimishe kitu maake hata sisi hatuamini kama hayupo.

Mihemko kwenye qoute yangu ni natoa onyo full stop.
 
Leo nitakuja na somo lenye kichwa kikisema kuwa

HAUKUUMBWA NA MUNGU
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Ndugu yangu msomaji naomba tumia akili kidogo unaposoma bandiko hili maana litaingia ndani zaidi katika maisha yetu ya kila siku.

Naam ndugu yangu msomaji leo nataka utambue kuwa haukuumbwa na Mungu,
Katika vitabu vya dini izi kubwa tatu tusomavyo viwili vinasema kuwa binadamu aliumbwa siku ya sita na siku ya saba Mungu akapumzika, katika imani ya tatu inasema binadamu mweusi aliumbwa siku ya tano pamoja na wanyama ili awe msaidizi wa binadamu aliyeumbwa siku ya sita.

Basi bwana Mungu baada ya uumbaji akautukuza ulimwengu na kumuweka humo binadamu.

HIVYO BASI HABARI ZA MUNGU NA UUMBAJI ILITAMATIKA SIKU YA SITA (6)
wewe ndugu msomaji ni zao la ufanyaji wa mapenzi wa wazazi wako. Kitu ambacho hata bwana Mungu hakikumfurahisha kwa mara ya kwanza na hii ni kwasababu kuu 3 (KIFO, UZAZI NA UTAFUTAJI)

1. Alijua binadamu wakizaliana na wakawa wengi lazima wafe.
2. Wakizaliana na kuwa wengi watakuwa wanazaliana sana hali itakayowapelekea kupata uchungu.
3. Alijua kila wakiwa wengi ndio liziki yao itazidi kuwa ngumu na kuanza kutafuta kwa jasho na kwa taabu sana.


Hivyo basi kama kuna magumu yeyote unayapitia katika dunia Mungu hapaswi kulaumiwa kwani wewe haukuumbwa na yeye.
Mungu alisha maliza maswala ya uumbaji tokea siku ya sita,

KINACHOENDELEA NI KUWA BINADAMU MNAUMBANA WENYEWE KWA WENYEWE.

Kama binadamu angeacha kuzaa basi binadamu angeshafutika kitambo sana katika ulimwengu.

Uwe na siku njema.
Thibitisha huyo Mungu yupo.
 
Nimeumbwa kwa kutoka katika pumbu za baba yangu nikatumbukizwa katika tumbo ya mama yangu kupitia uke,nikakaa huko kwa miezi tisa nikazaliwa.Baba yangu anaweza asiwe muumbaji wangu lakini mama yangu anaweza kuwa.Kwa maana aliniachaa muhuri ya kitovu katika tumbo yangu kwa maana kwayo kovu hiyo nilikuwa na kupata mahitaji yangu muhimu ningali tumboni mwake mama yangu.Kwa hiyo aliyeniumba na kunipigania ni mama yangu kwa kushirikiana na baba yangu Hata wanyama na wadudu hufanya hivyo kwa mustakabali wa uzalianaji.HIZI NI AKILI ZANGU ZA KIJINGAJINGA.
 
Kabla ya kudai Mungu hakukuumba, unaweza kuthibitisha kwanza kama binadamu aliwahi kuumbwa na Mungu au la?

Maana kusema ‘hakuumba’ ni kuonesha tayari unajua alichokifanya au hakukifanya.

Umeshathibitisha hilo vipi? Ulimuona? Uliongea naye? Au unadai uhakika juu ya jambo lisilo na ushahidi kamili upande wowote?
 
Back
Top Bottom