Hatuwezi kulitenganisha Kanisa Katoliki na nchii...Hongera Roman Catholic Mungu atajibu maombi

Hatuwezi kulitenganisha Kanisa Katoliki na nchii...Hongera Roman Catholic Mungu atajibu maombi

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
588
Reaction score
904
Kanisa katoliki kila siku ku a sala ya kuwaombea viongozi na kwa namna ya pekee Mhe. Raisi

Kanisa Katoliki bado linashirikiana na selikari katika mambo mengi ikiwemo ustawi wa amani kwa mafundisho na utoaji wa huduma mbali mbali za kijamii kama afya na elimu bila kuchoka hata pale inapotokea kuna kutofautiana ama na serikali au viongozi wa serikali

Kanisa katoliki limewahi kukutana visa ambavyo kama si busara ya kichungaji lingekua sababu ya uvunjivu wa amani...matukio kama mapadre kuuawa na kumwagiwa tindikali machache kwa kutaja mifano

Kanisa katoliki limeanza na Taifa hili tangu harakati za Uhuru kupigania ustawi wa taifa hili...halijakoma kuonya na kutoa ushauri pale mambo hayakwenda sawa bila kujali kiongozi ni wa katoliki au wa dini au dhehebu jingine

Wakati madhehebu na watu wengine wakikaa kimya kuhusu ukandqmizaji unaoendelea sasa...Kanisa Katoliki halijakaa kimya...sasa wako katika mfungo na novena...si kuwaombea mabaya watu lah...ila kuombea mustakabali mwema wa nchi

Kanisa katoliki linashambuliwa lakini lenyewe halishambulii
 
Nina uhakika wa asilimia zote, wahuni, wanamtandao na shetani wao.
Wanaliogopa sana hili kanisa sio jana, sio leo wala sio kesho.

Mt 16:18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.!!

Sio unaona hata wale mbwa wameacha kushambulia waumini wa yale makanisa
 
Nina uhakika wa asilimia zote, wahuni, wanamtandao na shetani wao.
Wanaliogopa sana hili kanisa sio jana, sio leo wala sio kesho.

Mt 16:18 Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.!!

Sio unaona hata wale mbwa wameacha kushambulia waumini wa yale makanisa
Mmmmmm! ????????????
 
Kanisa katoliki kila siku ku a sala ya kuwaombea viongozi na kwa namna ya pekee Mhe. Raisi

Kanisa Katoliki bado linashirikiana na selikari katika mambo mengi ikiwemo ustawi wa amani kwa mafundisho na utoaji wa huduma mbali mbali za kijamii kama afya na elimu bila kuchoka hata pale inapotokea kuna kutofautiana ama na serikali au viongozi wa serikali

Kanisa katoliki limewahi kukutana visa ambavyo kama si busara ya kichungaji lingekua sababu ya uvunjivu wa amani...matukio kama mapadre kuuawa na kumwagiwa tindikali machache kwa kutaja mifano

Kanisa katoliki limeanza na Taifa hili tangu harakati za Uhuru kupigania ustawi wa taifa hili...halijakoma kuonya na kutoa ushauri pale mambo hayakwenda sawa bila kujali kiongozi ni wa katoliki au wa dini au dhehebu jingine

Wakati madhehebu na watu wengine wakikaa kimya kuhusu ukandqmizaji unaoendelea sasa...Kanisa Katoliki halijakaa kimya...sasa wako katika mfungo na novena...si kuwaombea mabaya watu lah...ila kuombea mustakabali mwema wa nchi

Kanisa katoliki linashambuliwa lakini lenyewe halishambulii
Kanisa limejaa walevi na wauza unga

USSR
 
Hilo kanisa mnalipatia umuhimu ambao halina! na hayo maombi hakuna kitu yatabadilisha..Kwa kusema hayo NRNE
 
Ila wengine wanaweza kutengwa na nchi, sio?!!!!
Mungu ni wetu sote na huyo musiyempenda kwa sàbabu yenu ya kidini Mungu atambariki zaidi na zaidi mpaka mtashangaa na unafiki utawakaa pembeni. Mungu anajua na tunajua kuwa msingi wa maombi yenu si chochote Bali kumuombea mabaya Samia..........hilo ndilo lililojaa vifuani mwehu.
 
Tatizo la wakatoliki ni kudhania wao ndiyo wenye nchi hii, na si walutheri, waislamu, Anglicans wala Pentecost, hii ndilo tatizo lao kubwa ndani ya bongo zao!
 
Back
Top Bottom