Hatutashambulia Tanzania ila ziwa lote ni la Malawi

Hebu taja nchi ya jirani na Malawi hata moja ambayo haina urafiki wa damu na Tanzania. Ukiipata nakurushia 10,000/=
Tatizo lako wewe bado hujui ule msemo unasema rafiki yako ndio adui yako, we unadhnai nchi jirani zinataka kuona Tanzania ina jeshi kali kuliko lao. Usije kushangaa kuona waganda na wanyarwanda na wakenya wako upande wa Malawi. Siasa kitu kibaya sana.
 
Malawi sio ya kuiogopa kivita deplomacy tu inatosha kuwapiga
Wanaota na kung'ang'ania jambo ambalo halipo

unajua vita wewe au unapayuka tu
malawi hawezi kusimama pekee yake km unavyodhani
anawashirika wake wa damu na kisiasa hivo hivo kwa Tanzania.
Angalia waasi tu wanavozisumbua serikali ije vita ya nch na nch???
 
Tatizo jukwaa hili linaingiliwa kila uchwao, watu mnasoma kitu bila hata kutafakari kidogo mnakurupuka kuchangia. Embu tujaribu kuvaa viatu vya rais wa Malawi, mnafikiri angesemaje baada ya kuulizwa swali hilo? Kwa upande wangu mimi alijibu vizuri sana tena nampongeza. Ziwa lote ni letu lakini hatutaingia vitani na Tanzania. Maana yake ziwa ni letu wote ndoo maana hana mpango na vita. Angekuwa ana maanisha ziwa lote ni lao kweli si angetoa Amri kwa watanzania walio kando kando ya ziwa wakiwemo JWTZ kuondoka au kujisalimisha Malawi? Pili kumbukeni hizi ni siasa na yeye ni mkuu wa nchi na amri jeshi mkuu, mnategemea angesemaje. Kujitutumua mhimu,
Nguvu huna, hela huna, hata mkwara. Mkwara lazima uchimbweeeee
 
Watu wanafikiri ni rahisi nchi moja kuingilia vita ya nchi nyingine...hili kasheshe likianza ni Tz na Malawi tu wataingia ulingoni...

Hebu taja nchi ya jirani na Malawi hata moja ambayo haina urafiki wa damu na Tanzania. Ukiipata nakurushia 10,000/=
 
Ni rahis kusaidia serikali halali inayopigana na waasi kama S Sudani...lakini amini nakwambia ni ngumu kuingilia vita kati ya nchi na nchi...

Hata Ukraine imeingiliwa kwa sababu kuna hao so 'called' waasi...ingekuwa ni vita ya Ukraine na Urusi...kuingilia ni ku invite vita ya dunia...maana kila mtu atakusanya team yake...


unajua vita wewe au unapayuka tu
malawi hawezi kusimama pekee yake km unavyodhani
anawashirika wake wa damu na kisiasa hivo hivo kwa Tanzania.
Angalia waasi tu wanavozisumbua serikali ije vita ya nch na nch???
 
Watu wanafikiri ni rahisi nchi moja kuingilia vita ya nchi nyingine...hili kasheshe likianza ni Tz na Malawi tu wataingia ulingoni...
Siasa na mahusiano ya nchi za kusini mwa jangwa la sahara hajazifahamu vizuri huyu ndugu. Nikaona ninyamaze kidogo.
 
blaa blaa zikizidi ni shida tupu,Hiyo malawi haiwezi kusimama vita na rwanda sembuse tz.
kasome orodha ya majeshi bora afrika ndo uje kutema cheche zako tena.
 
Rais wa Malawi jana akiongea na waandishi wa habari amesema hana mpango kuingia vita na Tanzania isipokuwa tu kama atavamiwa naye atajitetea.

Pamoja na kusema hayo amesisitiza msimamo wake uleule wa kabla hajachaguliwa kuwa hata kama hana mpango kupigana na Tanzania lakini ziwa lote ni la Malawi hadi kwenye ufukwe wa upande wa Tanzania.

Tanzania haina chake kabisa.

Nilikuwa natafakari, ni kwanini ametoa maneno hayo, na kwamba ati hatapigana vita na Tanzania?

Kwani nani alisema Malawi wana uwezo kupigana vita na Tanzania? na yeye kama kiongozi mkubwa wa serikali ameshatoa tamko, binafsi nategemea viongozi wa Tanzania pia watoe tamko.

Membe toa tamko mapema kushutumu hatua hiyo na kulaani anachokifanya Rais huyu kwenye majukwaa ya siasa wakati suala lipo kwenye usuluhishi. kwani wanafikiri sisi Watanzania hatuna midomo na vyombo vya habari vya kuongelea?

Mungu ibariki Tanzania.

Wewe bado hujastuka hiyo ni siasa tu. Jamaa anataka afurahishe wapiga kura wake siku zipite. JK na Membe wasipoteze muda kwenye hizi taarabu/mipasho.
 
unajua vita wewe au unapayuka tu
malawi hawezi kusimama pekee yake km unavyodhani
anawashirika wake wa damu na kisiasa hivo hivo kwa Tanzania.
Angalia waasi tu wanavozisumbua serikali ije vita ya nch na nch???

kwahiyo tuwaachie Ziwa nyasa?is that you bottom line?
 
Kuna muda ambao najikuta nacheka sana pale mtt anapo mpiga m2 mzima.

.made in mby city.
mkuu nadhani hii comment umeielewa peke yako, fafanua zaidi labda kuna jambo la maana sana ulitaka kutushirikisha..
 
nimeshangaa wamalawi wanasema Mungu atawasaidia (kwenye discussion zao ktk forums) nikajiuliza hivi Mungu si ni wa kwetu sisi watz huyohuyo sasa wamalawi wakimuomba awasaidie ziwa lote liwe lao na sisi tutamwomba Mungu huyo huyo ziwa lote liwe letu.

pia, kama aliongea na kikwete US kama anavyosema, sasa ni ya nini kujitapa akifika home ? that means kama malawi wametoa tamko hilo na sisi watz tukanyamaza that means silence means yes....
 
Watu mnavyojua kupromote mambo!!Halafu Tz tunajiamin sana bt ipo siku tutakula kichapo ambacho hatukukitegemea Huwez jua malawi au nchi nyingine zipo vp sisi kazi yetu ni kujipromo tu !Basi Sawa
 
Tatizo jukwaa hili linaingiliwa kila uchwao, watu mnasoma kitu bila hata kutafakari kidogo mnakurupuka kuchangia. Embu tujaribu kuvaa viatu vya rais wa Malawi, mnafikiri angesemaje baada ya kuulizwa swali hilo? Kwa upande wangu mimi alijibu vizuri sana tena nampongeza. Ziwa lote ni letu lakini hatutaingia vitani na Tanzania. Maana yake ziwa ni letu wote ndoo maana hana mpango na vita. Angekuwa ana maanisha ziwa lote ni lao kweli si angetoa Amri kwa watanzania walio kando kando ya ziwa wakiwemo JWTZ kuondoka au kujisalimisha Malawi? Pili kumbukeni hizi ni siasa na yeye ni mkuu wa nchi na amri jeshi mkuu, mnategemea angesemaje. Kujitutumua mhimu,
Nguvu huna, hela huna, hata mkwara. Mkwara lazima uchimbweeeee
Muthalika katumia siasa hapo


If your not right...go left,,
 
Back
Top Bottom