Hatutanyamaza mpaka wakina Polepole waachiliwe

Hatutanyamaza mpaka wakina Polepole waachiliwe

Hakuna huduma itakayo funguliwa kesho labda kama ni za wauwaji na mapolisi vibaraka sio sisi

Hakuna huduma kesho mwambie mwenzio wenzetu wame uwawa kikatili kinyume cha sheria wewe unafangua huduma za nini kesho ?

lazima sababu kuu za maandamano zitatuliwe na wahuni waondoke
 
Tusi utunuku ufisadi, utekaji na mauwaji ya kutisha yaliyofanyika kwa kufungua huduma zozote kesho tunapaswa kushikilia maandamano
 
sisi tupo tayari kufa kwaajiri ya watanzania hatuta utunuku ushenzi hatutakubali

Watu wamekufa wengine wametekwa hadi hivi leo hatuwezi kurudi kwenye huduma nikuingia barabarani
 
1762217173173.jpeg
 
Labda hao wengine, lakini PolePole sijui kwa kweli. Kwa nnavyoona, atakua walishamtumbukiza kwenye acid zamani sana
 
sisi tupo tayari kufa kwaajiri ya watanzania hatuta utunuku ushenzi hatutakubali

Watu wamekufa wengine wametekwa hadi hivi leo hatuwezi kurudi kwenye huduma nikuingia barabarani
Kila siku upo tayari kufa halafu kila siku upo hai
 
Watoto wapuuzi hawa wanaleta taharuki mitaani
Kila siku upo tayari kufa halafu kila siku upo hai


Wenzao wakina Samora walitoka msumbiji wakaja kujipanga Tz maporini

Wakarudi na chama na nguvu za kijeshi hawa Digidigi Mbwa lala Mbwa wanataabisha mama ntilie mitaani na machinga sijui wanawaza nini Nyambafff
 
Back
Top Bottom