Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.
Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.
Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.
Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.
Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.
Wewe ni mgumba ndio maana unasema hivyo, kwani Lowassa peke yake ndio kasema elimu bure:what: fikiria kwanza kabla ya kupost ushuzi wako, mapadloc wakati akisema elimu bure ulikuwa chooni nini:what:
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.
Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.
Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.
Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.
Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.
Pumbafu sana migamba ya nape
Kuna misukule kama nyie duniani,ungekuwa na akili zinakutosha unaweza kushabikia uozo wa lowasa,jiulize anaweza kuhutubia bungeni LA wasomi?Tatizo Kubwa, Nadhani Ndio MISUKULE Mikubwa Ya CCM!!
Acheni kutufanya mburula hatutaki elimu ya bure sie, kila mtoto akopeshwe pesa yake atajua shule atakayosoma.
Mfano tumeuona wanafunzi wa chuo kikuu wanakopeshwa pesa wanasoma kozi na chuo wanachotaka wanahitimu wanapata ajira na wanalipa mkopo.
Kwanini tusitanue hiyo huduma hadi vyuo vya ufundi shule za sekondari? Kila mtoto akopeshwe pesa yake achague shule anayotaka kusoma mbeleni akipata kipato alipe mkopo wake.
Mnataka kutugeuza dili muanze kupiga hela za mishahara hewa madawati hewa vitabu hewa huku watoto wetu wakiambulia sifuri.
Nasema elimu ya bure ya lowasa hatutaki.
Elimu ya bure haiwezekani lowassa anadanganya wananchi.
kakate gov kwanza
eddy wewe kama huitaki sisi tunaitaka. shuleni sio mahali pa kugawa pesa bali ni mahali pa kugawa taaluma. tutakusomesha bure kwa kukupatia kila unachohitaji katika elimu yako ikwemo vitabu vya ziada na kiada, chakula kizuri na mahali pazuri pa kulala ili uweze kusoma vizuri. kama huitaki basi dunia yako chaguo lako..sepa kajisomeshe...
Tatizo Kubwa, Nadhani Ndio MISUKULE Mikubwa Ya CCM!!
eddy wewe kama huitaki sisi tunaitaka. shuleni sio mahali pa kugawa pesa bali ni mahali pa kugawa taaluma. tutakusomesha bure kwa kukupatia kila unachohitaji katika elimu yako ikwemo vitabu vya ziada na kiada, chakula kizuri na mahali pazuri pa kulala ili uweze kusoma vizuri. kama huitaki basi dunia yako chaguo lako..sepa kajisomeshe...
Tema mate chini mleta mada
Munaacha kuendeleza shule zinazofaulisha munaendeleza shule zinazofelisha akili ya ovyo kabisa.