Hatupendi ila tutafanyaje

Hatupendi ila tutafanyaje

Una hoja naomba usikilizwe... Ila Kaka jambazi mkitukaba msituumize chukueni hela na simu mtuache salama ili tukawatafutie hela zingine tukiwa na nguvu
Usimlete mapepe sasa maana hatutakagi kuwafanyiaga kitu kibaya ila ujuaji wa Kung Fu ndo unawaponza
 
Wanatuchukulia poa sana ila acha tu maisha yaendelee
Wenye shibe amkumbuki mwenye njaa.nipo wilaya ya moja wanawake wanajiuza hatar.

Nilipiga story na mmoja nikamuliza unalipwa mshahara akasema amna analipwa elf 2 akimaliza crate na linaisha siku 3 na msos boss anawapa Unga na dagaa. Alafu ni wazur hadi nilichoka.
 
Unakuta mwenzak ni maskini kama wewe..
Anapambana weeeh mapaka anajitahidi kupata chochote kitu wewe unaenda unamkaba alafu unasema ""sasa utafanyaje"" its not fair
 
Wenye shibe amkumbuki mwenye njaa.nipo wilaya ya moja wanawake wanajiuza hatar.

Nilipiga story na mmoja nikamuliza unalipwa mshahara akasema amna analipwa elf 2 akimaliza crate na linaisha siku 3 na msos boss anawapa Unga na dagaa. Alafu ni wazur hadi nilichoka.
Tena hapo itakuwa nyumbani Kuna watu wanawategemea bila kufanya hivyo Hali itazidi kuwa ngumu
 
Back
Top Bottom