Hatupendi ila tutafanyaje

Hatupendi ila tutafanyaje

Inasikitisha sana mkuu
Sema nini

NI TABIA MBAYA KWA MWANAUME KUPENDA KUONEWA HURUMA AMKA TWENZETU KWENYE HUSTLE
 
endelea kulalamika Godlove anawalaumu vijana na kuwaona wazembe ila mganga wake hamtaji
 
Inasikitisha sana mkuu
Sema nini

NI TABIA MBAYA KWA MWANAUME KUPENDA KUONEWA HURUMA AMKA TWENZETU KWENYE HUSTLE
Hatutafuti huruma ila tunaonesha kuwa Kuna vitu tunavifanya kwa ajili ya maisha yetu na kupelekea tuonekane wabaya
 
Sisi tukiwakamata ni mapanga na marungu sisi mwizi huwa hatuna msaada zaidi ya kumuwahisha mbinguni
Itakuwa good mjomba kutawahisha maana na wewe SI utakuja tukukabe tena huko mbinguni
 
Back
Top Bottom