- Thread starter
- #41
Hatukabi kila mtu tunanusa harufu yako kama umetoka kupigika sana au ulikesha kwenye kiyoyoziNdo umkabe mwenzak ambaye alijitolea kubaba tofali huko
Hatukabi kila mtu tunanusa harufu yako kama umetoka kupigika sana au ulikesha kwenye kiyoyoziNdo umkabe mwenzak ambaye alijitolea kubaba tofali huko
😹😹😹 Graduate wa BAF anaenda VETA kusomea welding hatari tupu..!!Mmeambiwa muende VETA, bado hamsikii tyuuh?
Shauri zenu.![]()
Hatutafuti huruma ila tunaonesha kuwa Kuna vitu tunavifanya kwa ajili ya maisha yetu na kupelekea tuonekane wabayaInasikitisha sana mkuu
Sema nini
NI TABIA MBAYA KWA MWANAUME KUPENDA KUONEWA HURUMA AMKA TWENZETU KWENYE HUSTLE
Hamna anayelalamika ila tunaonesha sababu ya vijana kufanya mambo mengi yanayoonekana hayafai kwenye jamiiendelea kulalamika Godlove anawalaumu vijana na kuwaona wazembe ila mganga wake hamtaji
Sisi tukiwakamata ni mapanga na marungu sisi mwizi huwa hatuna msaada zaidi ya kumuwahisha mbinguniUnakuta mwenzak ni maskini kama wewe..
Anapambana weeeh mapaka anajitahidi kupata chochote kitu wewe unaenda unamkaba alafu unasema ""sasa utafanyaje"" its not fair
Siwezi kukata tamaa kama wewe ulivyokata tamaa kutoongozaKijana yaani wewe ni jobless halafu unna taka kukata tamaa?, kenge maji aisee.
Sija kuelewa kutongoza nini kijana?Siwezi kukata tamaa kama wewe ulivyokata tamaa kutoongoza
Itakuwa good mjomba kutawahisha maana na wewe SI utakuja tukukabe tena huko mbinguniSisi tukiwakamata ni mapanga na marungu sisi mwizi huwa hatuna msaada zaidi ya kumuwahisha mbinguni
Kama utafeli hapa duniani hata huko mbinguni nitakuoshea tuItakuwa good mjomba kutawahisha maana na wewe SI utakuja tukukabe tena huko mbinguni
Error.... kutuongoza we si ulikuwa kiongozi au ulikuwa unatuchoraSija kuelewa kutongoza nini kijana?
Yaan unikute nimeshatangulia halafu unioshee una masikhara weweKama utafeli hapa duniani hata huko mbinguni nitakuoshea tu
TUkikuacha ujue huna jicho..Sisi tukiwakamata ni mapanga na marungu sisi mwizi huwa hatuna msaada zaidi ya kumuwahisha mbinguni
Mimi ni raisi wa Chama Cha ma jobless pro max, Sasa nime acha wapi?Error.... kutuongoza we si ulikuwa kiongozi au ulikuwa unatuchora
Ulishawahi kusikia nje ndani?Yaan unikute nimeshatangulia halafu unioshee una masikhara wewe
Good kiongozi tunazid kupambana tupate Cha halali zaidi na kuachana na visivyokuwa vya halaliUsiseme tufanyeje? "Kwani waliofanikiwa walifanyaje?" Fanya walivyofanya ila kihalali.
Wewe umetukimbia ulikuwa unatuchora tuMimi ni raisi wa Chama Cha ma jobless pro max, Sasa nime acha wapi?