Hatupendi ila tutafanyaje

Hatupendi ila tutafanyaje

Halafu dogo una andika ujinga mwingi Sana, kwa style hii una tegemea nani akupe mchongo?.

for real kuli kuwa na ka kitengo nakaona, ila una safari ndefu mzee
🤣🤣🤣Ila kiongozi we mjuaji sana

Tuendelee na mambo ya chama usije ukanifukuza kundini
 
Alie shiba anatokea tu uko eti VETA je kijana akitoka uko anaenda wapi?
KAZI ni kipimo cha utu
Wanachukulia poa sana kama hawawezi kusaidia vijana Bora wanyamaze tu kuliko kuwakandamiza
 
Back
Top Bottom