OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
OLESAIDIMU mbona kama amepata wivu ghafla?
Car parked at owners risk!!!!!
Last edited by a moderator:
OLESAIDIMU mbona kama amepata wivu ghafla?
Mfuate hapo chukua remote kwa upole huku unamkalia ukielekea upande wake na.kukata kiuno tartiiiibu huku unamwambia kwa sikioni kuwa una ny.eg.e balaaaaa na leo unakumbuka ile siku mlichapa game honeymoon,ila ujilegeze mpaka sauti sio sauti kavu kama city wanatahadharisha wapanga bidhaa chini!!!!!!
Akiendelea na mgomo huyo ni pm fasta!!!!
Nimesoma hapo kwa blue tu!
Au mkuu mume wako ni huyu hapa?mimi naona kafika mbali. angenuna hata mwaka. basi hata chakula asinipe. ila kwenye haki yangu ni muhimu sana
Kwa ruhusa ya nani na nani anafadhili mkutano wenu???!!!!
Wanafadhili watu wa Marekani,baada ya mkutano wanajamvi watajulishwa wanayostahili kuyajua katika yaliyojiri kwenye huo mkutano
Ennie una macho makali wewe? inaelekea shuleni huwezi kupata division 10-5
Natamani niandae kijipati kwa members wa MMU tu. nimegundua hii forum ni kama Panadol kwangu kwa kiasi fulani
Mi mbona sijauliza aku pm ili umpe nini?Ili nimpe namba yako ummegee mbinu za lile shambulio lako ambalo hata mkanda wa suruali huwa unabaki kama ulivyofungwa asubuhi!!!!!
haha ha ha Ennie leo naomba nikupe offer twende movie plz
Nilijua nawe umenuna,basi mi nitavaa mtandio wa dera ngoja watoto waende kwa bibi.
Natamani niandae kijipati kwa members wa MMU tu. nimegundua hii forum ni kama Panadol kwangu kwa kiasi fulani
Miezi ya nyuma kuna jamaa alikuja hapa na kuandika kuhusu ugomvi wa mama yake na mkewe. Akasusa kula nyumbani na kumpa mkewe haki yake. Hapa alidhani watu watampa support lakini walimsemea hovyo ile mbaya maana mke ilifikia mpaka kumuomba mumewe amtafutie mwanaume wa kumpa haki yake. Hajarudi tena au alibadili ID. I hope mumeo hatasusia papuchi kwa muda mrefu na kukupa haki yako unayostahili kama mke. Pole sana na kila la heri.
Ahaaaaa kumbe tupo wengi tunaojisexisha na mitandio ya madera eee?