TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
Thanks... nadhani bwabwa anahitaji kanseling ya nguvu aisee... akumbuke wanawake wanahitaji mwenza, na awe wa kiume haswa na urijali wa kutosha sio mwanaume suruali!! penzi motomoto ni kila kitu... inawezekana dada wa pangani anaona hapati vyotekakaushikia bango nini
yaani unataka ukapembuliwe chuya huko afu urudi home ujifanye mume??
kwa taarifa yako wengine instincts zetu si mchezo
mkeo kashtukia kitu.......wee kaendelee kupepetwa chenga tu huko basi!!!