Hatulali chumba kimoja!!

kakaushikia bango nini
yaani unataka ukapembuliwe chuya huko afu urudi home ujifanye mume??
kwa taarifa yako wengine instincts zetu si mchezo
mkeo kashtukia kitu.......wee kaendelee kupepetwa chenga tu huko basi!!!
Thanks... nadhani bwabwa anahitaji kanseling ya nguvu aisee... akumbuke wanawake wanahitaji mwenza, na awe wa kiume haswa na urijali wa kutosha sio mwanaume suruali!! penzi motomoto ni kila kitu... inawezekana dada wa pangani anaona hapati vyote
 
Ongea nae...labda kuna vijitabia vyako ambavyo vinamlazimisha kukukimbia... je unaingia kitandani bila kuoga?

Ama unakunywa pombe sana na kuwa na kaharufu?

Ongea nae kabla hujafanya maamuzi yoyote
 
ni swali zuri....yaani anaweza kuniambia anasikia joto tukilala pamoja, au usiku mimi eti najamba jamba wakati sijambi na sio kweli

icon8.gif
icon5.gif
icon8.gif
OMG.

Nah... alianza na yale mastori ya kipunga baada ya kubanwa ndio akaanza ku-succumb kwenye unyanyapaa...

To me, he is still punga aisee, labda abadili jina

Tumsaidie aache hio tabia kwa kumwombea na kumshauri anaoneka yuko mbioni kuacha.
 
Thanks... nadhani bwabwa anahitaji kanseling ya nguvu aisee... akumbuke wanawake wanahitaji mwenza, na awe wa kiume haswa na urijali wa kutosha sio mwanaume suruali!! penzi motomoto ni kila kitu... inawezekana dada wa pangani anaona hapati vyote

Bwabwa kama utaonesha nia ya kuacha huo upuuzi naamini kuna watu wapo tayari kukusaidia kufanya hivo

@DN mimi nataka Bwabwa aseme hapa hapa vinginevyo mtakuwa mnausemea moyo wake, pengine mwenzenu anajipenda hivyo alivyo je??
 
lets call a spade, a spade... wewe kama mwanadada ungeweza kulala na bwabwa? knowing kwamba limeshapokea mjenenge huko tIGO halafu likukumbatie all through the night?? naamini hata kama angekua amepiga nyumba ndogo ukigundua huwezi kulala nae kwa raha, sembuse punga?
Hivi mna uhakika gani kama bwabwa ni bwabwa kweli????
Au kwa sababu ya jina analotumia???? kama ni hivyo what's in a name????
Katika kipindi cha ujana pale ilala kulikuwa na kijana mmoja [wa kiume] alikuwa anapenda kufaa shanga za kiunoni na wengi tulifikiri jamaa alikuwa siriziki lakini alikuwa anawapanga kweli maana kila msichana aliyekutana naye alihadithia wenzake na hao nao out of curiosity wakawa wanaingia line vibaya sana na alikuwa anawaumiza vibaya sana.
 
Hivi mna uhakika gani kama bwabwa ni bwabwa kweli????
Au kwa sababu ya jina analotumia???? kama ni hivyo what's in a name????
Katika kipindi cha ujana pale ilala kulikuwa na kijana mmoja [wa kiume] alikuwa anapenda kufaa shanga za kiunoni na wengi tulifikiri jamaa alikuwa siriziki lakini alikuwa anawapanga kweli maana kila msichana aliyekutana naye alihadithia wenzake na hao nao out of curiosity wakawa wanaingia line vibaya sana na alikuwa anawaumiza vibaya sana.
Absolutely right!! hata mimi nashangaa....
 
Hivi mna uhakika gani kama bwabwa ni bwabwa kweli????
Au kwa sababu ya jina analotumia???? kama ni hivyo what's in a name????
Katika kipindi cha ujana pale ilala kulikuwa na kijana mmoja [wa kiume] alikuwa anapenda kufaa shanga za kiunoni na wengi tulifikiri jamaa alikuwa siriziki lakini alikuwa anawapanga kweli maana kila msichana aliyekutana naye alihadithia wenzake na hao nao out of curiosity wakawa wanaingia line vibaya sana na alikuwa anawaumiza vibaya sana.
you are right bro' tatizo hapo juu tu ameanza mambo yake, mara oh, najambajamba nk... pia si vibaya ukaclick jina lake halafu nenda pitia posts zake zote, sio nyingi ili ujue hasa ana maanisha nini
 
Hivi mna uhakika gani kama bwabwa ni bwabwa kweli????
Au kwa sababu ya jina analotumia???? kama ni hivyo what's in a name????
Katika kipindi cha ujana pale ilala kulikuwa na kijana mmoja [wa kiume] alikuwa anapenda kufaa shanga za kiunoni na wengi tulifikiri jamaa alikuwa siriziki lakini alikuwa anawapanga kweli maana kila msichana aliyekutana naye alihadithia wenzake na hao nao out of curiosity wakawa wanaingia line vibaya sana na alikuwa anawaumiza vibaya sana.

Dah! Hiyo kali! Yaani mwanaume uvae shanga ili wanawake waje kuthibitisha ili uwabandue! Over my dead body!
 
you are right bro' tatizo hapo juu tu ameanza mambo yake, mara oh, najambajamba nk... pia si vibaya ukaclick jina lake halafu nenda pitia posts zake zote, sio nyingi ili ujue hasa ana maanisha nini

Hivi wewe De novo hujambi???? nijibu swali....na hiyo kujambajamba ni visingizio vyake tu na si kweli
 
ha ha ha BWABWA na thread zake ananiacha Hoi......Jana alikua na thread moja kua alikabwa Nairobi kisa masela walimuaona anatembea K**nge K**nge......leo Mke hamtaki kisa ana jamba jamba....dah bwa bwa bana!!
 
ha ha ha BWABWA na thread zake ananiacha Hoi......Jana alikua na thread moja kua alikabwa Nairobi kisa masela walimuaona anatembea K**nge K**nge......leo Mke hamtaki kisa ana jamba jamba....dah bwa bwa bana!!
wengine humu hawaoni... he/she is just spinning... its good to be real when usenge ukija jamvini
 
ha ha ha BWABWA na thread zake ananiacha Hoi......Jana alikua na thread moja kua alikabwa Nairobi kisa masela walimuaona anatembea K**nge K**nge......leo Mke hamtaki kisa ana jamba jamba....dah bwa bwa bana!!
wengine humu hawaoni... he/she is just spinning... its good to be real when tabia ya usenge/ushoga ikija jamvini
 
ha ha ha BWABWA na thread zake ananiacha Hoi......Jana alikua na thread moja kua alikabwa Nairobi kisa masela walimuaona anatembea K**nge K**nge......leo Mke hamtaki kisa ana jamba jamba....dah bwa bwa bana!!

Meku huyu Bwabwa labda ni two in one
 
Ni miezi sita sasa huyu mpenzi wangu tangu aanze hii tabia ya ajabu, kama yuko chumbani nikitaka kulala anahamia chumba kingine, nikimfata huko anakwenda kulala sebuleni, sina raha, sina wa kuongea nae,mpaka nimvizie kalala fofofo ndio nijisogeze nilale pembeni yake na akishtuka tu anahama kwingine,nikumuuuliza sababu zinakuwa nyingi lakini hazina msingi, kama mnavyojua raha ya kulala sharti usikie mapigo ya moyo ya mpenzi wako. Wana JF nawaombeni mnipe ushauri wa kina nini cha kufanya ili niondokane na hili balaa?
Hapa unaeleza mambo na vituko anavyokufanyia huyo "mpenzi" wako bila kueleza wewe ulimfanyia kitu gani huyo "mpenzi"wako. Naamini wana Jf wangekupa ushauri mzuri zaidi kama ukieleza ulichokifanya wewe kaw huyo binti. Kuwa muwazi ili usaidiwe mawazo/ushauri.
 
1. Zianike hizo sababu zisizo za msingi, utapata ushauri kwa kila sababu.

2. Je, umestaafu ubwabwa? Kama ndiyo, basi achana naye, maana hiyo ndio sababu. Kama siyo, basi atakuwa hapendi hiyo tabia, hivyo uache au achana naye na umtafute mwenye kupenda hivyo.

3. Sema jinsia yako na ya mpenzio, huenda yeye humpatii ubwabwa, badala yake unawapa wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom