Hatukumpigia kampeni Dr. Magufuli ili atupe cheo

Mudawote

JF-Expert Member
Jul 10, 2013
9,909
12,299
Ieleweke, maana kuna wengine walidhani na wanaendelea kudhani kuwa tulimpigia chepuo Dr. Magufuli wakidhani tulitegemea kupewa fadhila, la hasha, bali yalikuwa mapenzi ya dhati kwa nchi yetu. Na mpango mkakati ilikuwa kuhakikisha nchi inapata rais mzalendo, mpenda wananchi na muadilifu. Baada ya kukamilika hilo sasa kwetu kila siku ni sherehe tu, maana kila mtanzania na dunia inamkubali Dr. Magufuli.
 
Mudawote kwanini post imejaa kujihami? Au ndio majibu ya ile post kuwa Lumumba buku7 Magu hawajali?
Na hili la kusema 'kwenu' ni starehe tuu na 'kila mtanzania' na dunia inamkubali Magu si kweli kabisa
Kuna fukuto linazizima chini kwa chini ndani ya ccm kuhusu matendo yake nafikiri unajua
Majirani hasa Kenya wanalalamika kuwa anavuruga umoja kwa kuwafukuza wakenya nchini
Tusiupake uvundo manukato harufu nzuri ikiisha harufu mbaya itaongezeka
 
Mudawote kwanini post imejaa kujihami? Au ndio majibu ya ile post kuwa Lumumba buku7 Magu hawajali?
Na hili la kusema 'kwenu' ni starehe tuu na 'kila mtanzania' na dunia inamkubali Magu si kweli kabisa
Kuna fukuto linazizima chini kwa chini ndani ya ccm kuhusu matendo yake nafikiri unajua
Majirani hasa Kenya wanalalamika kuwa anavuruga umoja kwa kuwafukuza wakenya nchini
Tusiupake uvundo manukato harufu nzuri ikiisha harufu mbaya itaongezeka
mshana jr wanaolalamika ni wale waliokuwa wapinzani ndani ya chama chetu (yaani lile kundi la mzee lowasa lililobaki nadni ya CCM). Hilo kundi halitupi shida kabisa. Lazima nidhamu kwanza ihuishwe upya ili tuishi kwa misingi ya haki na sheria.
 
mshana jr wanaolalamika ni wale waliokuwa wapinzani ndani ya chama chetu (yaani lile kundi la mzee lowasa lililobaki nadni ya CCM). Hilo kundi halitupi shida kabisa. Lazima nidhamu kwanza ihuishwe upya ili tuishi kwa misingi ya haki na sheria.
Kama ni kweli kuna kundi hilo ndani ya ccm basi ni kundi hatari sana kwa ustawi wa chama na inabidi haraka sana mchukue hatua stahiki kitu ambacho hakitawezekana asilani
 
Ieleweke, maana kuna wengine walidhani na wanaendelea kudhani kuwa tulimpigia chepuo Dr. Magufuli wakidhani tulitegemea kupewa fadhila, la hasha, bali yalikuwa mapenzi ya dhati kwa nchi yetu. Na mpango mkakati ilikuwa kuhakikisha nchi inapata rais mzalendo, mpenda wananchi na muadilifu. Baada ya kukamilika hilo sasa kwetu kila siku ni sherehe tu, maana kila mtanzania na dunia inamkubali Dr. Magufuli.

Mudawote kwanini post imejaa kujihami? Au ndio majibu ya ile post kuwa Lumumba buku7 Magu hawajali?
Na hili la kusema 'kwenu' ni starehe tuu na 'kila mtanzania' na dunia inamkubali Magu si kweli kabisa
Kuna fukuto linazizima chini kwa chini ndani ya ccm kuhusu matendo yake nafikiri unajua
Majirani hasa Kenya wanalalamika kuwa anavuruga umoja kwa kuwafukuza wakenya nchini
Tusiupake uvundo manukato harufu nzuri ikiisha harufu mbaya itaongezeka

Kwa nini mwenyekiti wenu alipoona mmesahaulika alilia mkumbukwe??

Kama ni kweli kuna kundi hilo ndani ya ccm basi ni kundi hatari sana kwa ustawi wa chama na inabidi haraka sana mchukue hatua stahiki kitu ambacho hakitawezekana asilani
 
Ieleweke, maana kuna wengine walidhani na wanaendelea kudhani kuwa tulimpigia chepuo Dr. Magufuli wakidhani tulitegemea kupewa fadhila, la hasha, bali yalikuwa mapenzi ya dhati kwa nchi yetu. Na mpango mkakati ilikuwa kuhakikisha nchi inapata rais mzalendo, mpenda wananchi na muadilifu. Baada ya kukamilika hilo sasa kwetu kila siku ni sherehe tu, maana kila mtanzania na dunia inamkubali Dr. Magufuli.
sasa mbona mwenyekiti wenu wa chama aliomba mkumbukwe ...na baadhi yenu wamekumbukwa kwenye "ukuu wa wilaya"
 
Wacha kujihami hakuna mpunbavu wa kukupa hata ubalozi wa nyumba kumi
 
Ieleweke, maana kuna wengine walidhani na wanaendelea kudhani kuwa tulimpigia chepuo Dr. Magufuli wakidhani tulitegemea kupewa fadhila, la hasha, bali yalikuwa mapenzi ya dhati kwa nchi yetu. Na mpango mkakati ilikuwa kuhakikisha nchi inapata rais mzalendo, mpenda wananchi na muadilifu. Baada ya kukamilika hilo sasa kwetu kila siku ni sherehe tu, maana kila mtanzania na dunia inamkubali Dr. Magufuli.

Hili ni kweli kwa wengi ambao walisimama nyuma ya Magufuli. TAtizo ni kuwa wao wanataka tuamini walimuunga mkono yule kwa sababu walimuamini kuwa anawakilisha maslahi yao na siyo kwa sababu aliwaahidi vyeo mbalimbali (tunajua kuwa wapo walioahidiwa vyeo kwa kuchagua watakacho!). Wao watasema walifanya hivyo kwa sababu wanaamni au waliamini chama na mgombea wao. Wanaposema hivi wanathibitisha tu udhaifu wa hoja zao.
 
Chadema ni wapumbavu sana kwa hotuba ya Lisu nimeamini hawa jama ni wasaka tonge tu
 
usingeweka hata hii post,maana hawa ndugu zetu wao ndo waliexpect kupewa vyeo kwa kumpigania mtu wao lowassa........na kwa bahati mbaya sana wameshindwa vibaya,wanabaki kututpia mpira tuliokuwa tunamuunga mkono na kumpigania rais wetu...........
 
Mimi Mwenyewe nilimpigania Magufuli ila sio CCM,... Chadema niliachana nao baada ya kuona Mbowe ametoa kinyesi chooni ameleta sebuleni.!
 
Huko ni kujihami baada ya kuona mategemeo yao yamepotea ya kupata fadhila. Mwenyekiti kikwete alijitahidi kumuomba magu awakumbuke wapiga kampeni kwenye mitandao lakini Magu amewaacha waisome namba na wataisoma kweli kipindi hiki.
 
mshana jr wanaolalamika ni wale waliokuwa wapinzani ndani ya chama chetu (yaani lile kundi la mzee lowasa lililobaki nadni ya CCM). Hilo kundi halitupi shida kabisa. Lazima nidhamu kwanza ihuishwe upya ili tuishi kwa misingi ya haki na sheria.
Ieleweke, maana kuna wengine walidhani na wanaendelea kudhani kuwa tulimpigia chepuo Dr. Magufuli wakidhani tulitegemea kupewa fadhila, la hasha, bali yalikuwa mapenzi ya dhati kwa nchi yetu. Na mpango mkakati ilikuwa kuhakikisha nchi inapata rais mzalendo, mpenda wananchi na muadilifu. Baada ya kukamilika hilo sasa kwetu kila siku ni sherehe tu, maana kila mtanzania na dunia inamkubali Dr. Magufuli.
Umenipa tiketi ya kukudharau
 
Ambao walimuunga mkono rais bila ya kuhitaji fadhila washa toka huko kwa sababu ameshashindishwa! weye unayepiga ngonjera kila siku huku sina shaka ni manung'uniko tu hamna lolote.Ila usikate tamaa madc bado! Vuta subira.
 
Ambao walimuunga mkono rais bila ya kuhitaji fadhila washa toka huko kwa sababu ameshashindishwa! weye unayepiga ngonjera kila siku huku sina shaka ni manung'uniko tu hamna lolote.Ila usikate tamaa madc bado! Vuta subira.
Hahhahahaaaa
 
Back
Top Bottom