La kwanza Kuna ule u-rough tu wa kuzaliwa nao unakuta mtu yuko very careless Kwenye mambo yake very reckless yaani hajali lolote...Uko kwenye foleni mahali
Uko ofisini kwa watu
Uko kwenye usafiri wa jumuiya
Uko kwenye sherehe nknk
Unapepesa macho unamuona mtu kavaa shati lakini kakosea kufunga vifungo, vifungo vimepishana
Mtu kavaa shati zuri tu lakini kachomekea vibaya
Kavaa mkanda lakini karuka looks
Kavaa mkanda lakini mbele haujakaa sawa umepishana na flies , umepishana na vifungo vya shati
Amevaa socks lakini hazifanani rangi
Au hajachana nywele
Au hajashave
Au hajanawa uso
Au hajapiga mswaki
Au hajafunga zipu
Achana na wale ndugu zangu Wasukuma wa kupenda rangi rangi .. Shati nyekundu, suruali manjano, mkanda wa kijani tai ya blue, viatu vya kijani.. Hawa ni special case!
Sasa unajiuliza kimya kimya!
Hawajikagui asubuhi wakijiandaa? Hawakaguliwi na wenza wao?
Ukiona mtu yuko shaghala baghala jua kuna tatizo kubwa huko home!
Na mara zote tatizo huanzia chumbani! Cbumbani kukiwa sawa hata vifungo utafungwa..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaaa.muda mwingine akili haipo kichwa kimejaaa upo kama haupo
Kimsingi tuwe karibu na Wenza wetu ukimuona kaanza kuact hivyo kuwa naye karibu maana anaweza akachukua Hatua ya kujirusha kwenye boti au Kujinyonga kifupi maamuzi ya kujiondoa uhai kutokana na msongo wa mawazo...[emoji419][emoji375]La kwanza Kuna ule u-rough tu wa kuzaliwa nao unakuta mtu yuko very careless Kwenye mambo yake very reckless yaani hajali lolote...
Halafu hili la pili Linachangiwa na Ugumu wa Maisha Stress zikizidi kwenye maisha unaweza kufanya chochote bila wewe kujua kama umekifanya kwa sbabu kwenye akili unahisi umekifanya..
Hiyo inatokana na kutingwa na majukumu mengi kuliko Mfuko wako, Unapata kitu kinaitwa Burnout
Kimsingi tuwe karibu na Wenza wetu ukimuona kaanza kuact hivyo kuwa naye karibu maana anaweza akachukua Hatua ya kujirusha kwenye boti au Kujinyonga kifupi maamuzi ya kujiondoa uhai kutokana na msongo wa mawazo...
#Mental Health Is Real
Kimsingi tuwe karibu na Wenza wetu ukimuona kaanza kuact hivyo kuwa naye karibu maana anaweza akachukua Hatua ya kujirusha kwenye boti au Kujinyonga kifupi maamuzi ya kujiondoa uhai kutokana na msongo wa mawazo...[emoji419][emoji375]La kwanza Kuna ule u-rough tu wa kuzaliwa nao unakuta mtu yuko very careless Kwenye mambo yake very reckless yaani hajali lolote...
Halafu hili la pili Linachangiwa na Ugumu wa Maisha Stress zikizidi kwenye maisha unaweza kufanya chochote bila wewe kujua kama umekifanya kwa sbabu kwenye akili unahisi umekifanya..
Hiyo inatokana na kutingwa na majukumu mengi kuliko Mfuko wako, Unapata kitu kinaitwa Burnout
Kimsingi tuwe karibu na Wenza wetu ukimuona kaanza kuact hivyo kuwa naye karibu maana anaweza akachukua Hatua ya kujirusha kwenye boti au Kujinyonga kifupi maamuzi ya kujiondoa uhai kutokana na msongo wa mawazo...
#Mental Health Is Real
Kweli kabisaLa kwanza Kuna ule u-rough tu wa kuzaliwa nao unakuta mtu yuko very careless Kwenye mambo yake very reckless yaani hajali lolote...
Halafu hili la pili Linachangiwa na Ugumu wa Maisha Stress zikizidi kwenye maisha unaweza kufanya chochote bila wewe kujua kama umekifanya kwa sbabu kwenye akili unahisi umekifanya..
Hiyo inatokana na kutingwa na majukumu mengi kuliko Mfuko wako, Unapata kitu kinaitwa Burnout
Kimsingi tuwe karibu na Wenza wetu ukimuona kaanza kuact hivyo kuwa naye karibu maana anaweza akachukua Hatua ya kujirusha kwenye boti au Kujinyonga kifupi maamuzi ya kujiondoa uhai kutokana na msongo wa mawazo...
#Mental Health Is Real
π€£ namuona meya Fulani hivi kwenye hiliUko kwenye foleni mahali
Uko ofisini kwa watu
Uko kwenye usafiri wa jumuiya
Uko kwenye sherehe nknk
Unapepesa macho unamuona mtu kavaa shati lakini kakosea kufunga vifungo, vifungo vimepishana
Mtu kavaa shati zuri tu lakini kachomekea vibaya
Kavaa mkanda lakini karuka looks
Kavaa mkanda lakini mbele haujakaa sawa umepishana na flies , umepishana na vifungo vya shati
Amevaa socks lakini hazifanani rangi
Au hajachana nywele
Au hajashave
Au hajanawa uso
Au hajapiga mswaki
Au hajafunga zipu
Achana na wale ndugu zangu Wasukuma wa kupenda rangi rangi .. Shati nyekundu, suruali manjano, mkanda wa kijani tai ya blue, viatu vya kijani.. Hawa ni special case!
Sasa unajiuliza kimya kimya!
Hawajikagui asubuhi wakijiandaa? Hawakaguliwi na wenza wao?
Ukiona mtu yuko shaghala baghala jua kuna tatizo kubwa huko home!
Na mara zote tatizo huanzia chumbani! Cbumbani kukiwa sawa hata vifungo utafungwa..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa sijakuelewa, maana mshkaji wangu amepanga karibu na napokaa huyu jmaa ni rafu chumbani lakini akitoka nje daaaah wanawake wanachanganyikiwa. Na usafi yeye hafanyi mpaka demu wake aje.Kuna watu ni kawaida yao kuwa rafu, mama aliwahi kuniambia u smart wa mtu unaanzia nyumbani anapoamka.
Ukiona unaamka unajiandaa unatoka bila kutandika hata kitanda ulicholalia basi jua fika upo rafu hata kama mbele za watu kimuonekano upo smart.
Mpaka unajiuliza Huyu mtu chumbani kwake si ndio itakua balaaa...ππππ€£π€£Uko kwenye foleni mahali
Uko ofisini kwa watu
Uko kwenye usafiri wa jumuiya
Uko kwenye sherehe nknk
Unapepesa macho unamuona mtu kavaa shati lakini kakosea kufunga vifungo, vifungo vimepishana
Mtu kavaa shati zuri tu lakini kachomekea vibaya
Kavaa mkanda lakini karuka looks
Kavaa mkanda lakini mbele haujakaa sawa umepishana na flies , umepishana na vifungo vya shati
Amevaa socks lakini hazifanani rangi
Au hajachana nywele
Au hajashave
Au hajanawa uso
Au hajapiga mswaki
Au hajafunga zipu
Achana na wale ndugu zangu Wasukuma wa kupenda rangi rangi .. Shati nyekundu, suruali manjano, mkanda wa kijani tai ya blue, viatu vya kijani.. Hawa ni special case!
Sasa unajiuliza kimya kimya!
Hawajikagui asubuhi wakijiandaa? Hawakaguliwi na wenza wao?
Ukiona mtu yuko shaghala baghala jua kuna tatizo kubwa huko home!
Na mara zote tatizo huanzia chumbani! Cbumbani kukiwa sawa hata vifungo utafungwa..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo yupo rafu hana u smart wowote kiuhalisia ndio maana kwake yupo rafu.Mkuu hapa sijakuelewa, maana mshkaji wangu amepanga karibu na napokaa huyu jmaa ni rafu chumbani lakini akitoka nje daaaah wanawake wanachanganyikiwa. Na usafi yeye hafanyi mpaka demu wake aje.
Hapo unazungumzia mtu kuwa rafu in nature au u smart?
Kimsingi tuwe karibu na Wenza wetu ukimuona kaanza kuact hivyo kuwa naye karibu maana anaweza akachukua Hatua ya kujirusha kwenye boti au Kujinyonga kifupi maamuzi ya kujiondoa uhai kutokana na msongo wa mawazo...[emoji419][emoji375]La kwanza Kuna ule u-rough tu wa kuzaliwa nao unakuta mtu yuko very careless Kwenye mambo yake very reckless yaani hajali lolote...
Halafu hili la pili Linachangiwa na Ugumu wa Maisha Stress zikizidi kwenye maisha unaweza kufanya chochote bila wewe kujua kama umekifanya kwa sbabu kwenye akili unahisi umekifanya..
Hiyo inatokana na kutingwa na majukumu mengi kuliko Mfuko wako, Unapata kitu kinaitwa Burnout
Kimsingi tuwe karibu na Wenza wetu ukimuona kaanza kuact hivyo kuwa naye karibu maana anaweza akachukua Hatua ya kujirusha kwenye boti au Kujinyonga kifupi maamuzi ya kujiondoa uhai kutokana na msongo wa mawazo...
#Mental Health Is Real
Shida huanzia hapo na mara nyingi visababishi ni mapenzi na pesamuda mwingine akili haipo kichwa kimejaaa upo kama haupo