Hi' wadau!
Nina mpz ambaye ana umri wa miaka 22 kabila lake ni mngoni.
Ni miaka mitatu toka tumejuana nae ila toka mwezi wa kwanza mwaka huu ameniambia kama siwezi kupiga gemu kavu kavu basi yupo tayari kuachana nae,na mimi bado nampenda hivyo nisaidieni na mimi richa kupima mara kwa mara naogopa sana kuteleza,kwenda bila hizo kinga.
Nifanyeje wadau?
Nina mpz ambaye ana umri wa miaka 22 kabila lake ni mngoni.
Ni miaka mitatu toka tumejuana nae ila toka mwezi wa kwanza mwaka huu ameniambia kama siwezi kupiga gemu kavu kavu basi yupo tayari kuachana nae,na mimi bado nampenda hivyo nisaidieni na mimi richa kupima mara kwa mara naogopa sana kuteleza,kwenda bila hizo kinga.
Nifanyeje wadau?