greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,319
- 3,930
Sema wewe na mumeo syo sisi.Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?
Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.
Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.
Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Wewe Chawa tafuta kazi nyingineMheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?
Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.
Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.
Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
Alikubali influence ya wapiga deal kwenye sector ya mafuta wakajipenyeza kupitia mfumo WA kuagiza mafuta Kwa pamoja (Bulk procurement) akaforce wapewe tender 15% kwa kisingizio cha uzawa kumbe jamaa hawana uwezo wakapelekea kuingiza mafuta Kwa garama kubwa mafuta taa na petrol vikapanda bei japo katibu mkuu wake alimzuia asifanye utaratibu huo maana ni kinyume na utaratibu Ila yeye alilazimisha na wala hakum consult mkuu wa nchi.
Mume wako jiwe wakati anatumbua alikuwa anasema sababu?
Ni mshamba, hana exposure yoyote ya chochote. Hakuwa na maarifa yoyote ya kusimamia mashirika yanayotakiwa kufanya kazi kwa standard ya Dunia kama ilivyo Tanesco. The same to Biteko. Wote ni wanazengo, exposure yao mwisho Nyarugusu!
Au nasema uwongo ndugu zangu?! Msema kweli ni mpenzi Wa Mungu.
Mama alifanya hivyo maksudi kumtuliza KIGOGO 14. Na kwa 100% amefanikisha kumruliza. Lakini utendaji wa KIGOGO 14 ni 11.77%Mheshimiwa Rais Samia tunaomba utujuze hata kiasi hivi Kalemani alikosea nini pale nishati?
Ukweli ni kwamba wananchi wengi hawajakuelewa kwa dhati kuhusu ufukuzwaji wa yule jamaa pale nishati.
Ifahamike Kalemani pamoja na mapungufu yake lakini watendaji pale Tanesco alikuwa anawamudu kabisa na walikuwa wanamheshimu sana.
Sisi hatuhoji mamlaka yako uliyopewa na katiba bali tunataka tufahamu tu huyo mtu alikosea nini ili historia ipate kumhukumu huko mbele km ambavyo wewe usipotutonya makosa yake itakavyokuja kukuhukumu huko mbele.
WAKAT wa JPM walikua wanabadilishwa Wizara wanaozingua? Tuliza ngengaMbona hakubadilishwa wizara kama yule wa TAMISEM alivyobadilishwa wizara ?
Zingine huwa ni figisu na umbea wa wale ndugu tu, linachafuliwa fail lako Rais anajazwa maneno weeee ,unapigwa chini , nafikili huyu Bwana alikua serious kidogo , nishati sio wizara lelemama,Maguful aliwahi kusema "Hakuna anayejua siri nyingi za Nchi Kama Raisi." Mama kaona hafai na unapaswa ujue hafai kumsaidia.
After all uwaziri sio ajira. Bali unamsaidia Raisi kutekeleza majikumu yake, and you will persist at the President's pleasure.
11.77!!!! Umezipataje mimi mbona napata 2.3%?Mama alifanya hivyo maksudi kumtuliza KIGOGO 14. Na kwa 100% amefanikisha kumruliza. Lakini utendaji wa KIGOGO 14 ni 11.77%
Hahahahah. .......umenikosea adabu lakini.Mmea wa Arusha katika ubora wake
Tukisema kila kitu mpaka kipengele hatutafikaHoja gani ambayo umeshindwa kuijenga kwa kutuwekea KIPENGELE CHA KIKATIBA kinachomtaka Rais kufafanua teuzi na tenguzi zake kwa wananchi ?!!!😳😳🤣