Hatudanganyiki ng’o!!

Kwakweli, I think hawajaguswa
Hakuna kitu kinaniuma waliopoteza uhai kwa kufuatwa ndani,au katoka dukani,kazini, mbaya zaidi watt wa kiume tu
Kila nikiwaza sipati jibu

Maombi nayoomba Mungu anisamehe
Kuna vitu vinaumiza sana, kuna muda niliwaza hivi wanaojiita wataalamu ( waganga wa kienyeji) hawawezi kufanya namna kwa zile damu kwamba kila aliyeshiriki kwa kutoa amri ya kuua ama kushika bunduki nao wafe wote.
 
Huyu kashaelekea kibra. Ni mteja mtarajiwa wa ICC

Waziri wa Mambo ya Nje wa Denmark keshapiga nyundo.
 


Kwenye jumuiya za kimataifa hatupoi hata kidogo, kaingia kingi mwenyewe.
 
Kuna vitu vinaumiza sana, kuna muda niliwaza hivi wanaojiita wataalamu ( waganga wa kienyeji) hawawezi kufanya namna kwa zile damu kwamba kila aliyeshiriki kwa kutoa amri ya kuua ama kushika bunduki nao wafe wote.
Hao ndo wako kuufanikisha huo mfumo km hujui

But wanaoamini hayo mambo wamezika nguo na kufanya mambo yao wanasema hiyo ni balaa huwa haiachi mtu familia nzima....km ulionq clip ya njombe wanasema kile kimefqnyika baada ya kukosa mwili...
Mi naamini ktk Mungu ambacho ningefanya,ni zaburi 109
 
Kaona Hali ngumu eti ndo anajitokeza hizo damu ulizo mwaga ni swala la muda, yeye na yule wa Uganda full movie is coming soon, be ready bibi netanyahu
 
Chura kiziwi anaishi kwa mazoea na dharau.

Ilikuwa hotuba ya hadaa. Akili za Kikwete hizo.
 
.
 
Walikusudia kufanya hivyo,Mchengerwa alishatoa kauli kuwa hakuna kuoneana huruma,”Show no Mercy no anyone” “hakuna mtu alitoa amri kuwa waache Mara moja kupiga watu risasi,hakuna.Mpaka sasa hatujasikia mtu yoyote amekamatwa japo picha za wahusika zimezagaa mitandaoni.Wamekamata vijana kwa lengo la kutaka kubadilisha narrative kwa kufanya blame shifting,kitu ambacho kimeshindikana kwa sababu ya evidence,safari hii hawawezi kufanya spin kujitoa,Watanzania wameshajua jinsi ya kukabiliana nao..
 
Liberation Day, D9
 
Huyu mtu amefanya ushetani ambao hakuna dikteta yeyote aliwahi kuufanya dhidi ya wananchi wake.

Huyu kwa sasa ni dhahiri ndiye adui namba 1 wa Tanganyika. Adui yako mkuu kamwe hawezi kukutengenezea maridhiano, wala hawezi kuumizwa na mateso yako. Huyu hatufai, aondoke, yeye na mwanaye wapelekwe mahakama za kimataifa wakajibu ushetani wao. Kuwepo kwenye nchi yetu, tuseme, HAPANA.
 
Kwa mauaji yaliyotokea nimekuwa nikimuombea mabaya Mungu anisamehe, ila siwezi hata kumsikiliza nahisi kichefuchefu
Mimi yule dogo mwanafunzi aliepigwa risasi kila nikukumbuka hio video nakosa raha kbs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…