Hatudanganyiki ng’o!!

ICC haendi na tume ataunda
 
 
Sasa kafungua bomba la pole kwa wafiwa na ajeruhi wa maandamano, utayasikia machawa yote yakimimina pole pamoja na vyombo vya habari ya Tanzania. Nyie subirini tu mtaona na kusikia wenyewe.
Kwa sasa watanganyika wameamka akiibuka chawa wanamshona vilivyo hadi anarudi mafichoni.

Kibibi hadi sasa kimefunga comments katika account zake zote za mitandao ya kijamii .

Limebaki zoezi moja tu la watu waweze kususia huduma na viburidisho vingine vya madhalimu na wanoiunga mkono serikali batili ambayo haikutokana na wananchi hiyo ikifanikiwa watashika adabu vizuri zaidi.

Wananchi wakianza kususia usafiri wa mafisadi, kuweka mafuta katika filling stations za mafisadi, kucancel subscription za media za kitanzania, uanachama wa Simba na Yanga, kugomea kwenda viwanjani mechi za Simba na Yanga hii itawaamsha na movement itakua imekaa vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…