rafiki2010
Member
- Sep 23, 2010
- 23
- 0
Nawezekana vipi kuunda katiba mpya , kufuatilia migogoro ya ardhi ndani ya siku mia hayo ni machache 2 ila kuna mengine mengi tunaahidiwa kufanyika ndani ya siku mia (100) kweli yote yanawezekana au ndio njia ya kuingia ikulu,,,,,,,, punguzeni vurugu jaribuni tena 2015,,