Hatua zipi zakufanya ili usipate SUP wala usiangukie kwenye DISCONTINUATION ya chuo

Chiefdent

New Member
Jul 31, 2018
3
1
Naombeni msaada wenu ,mi natarajia kuanza masomo ya level ya degree ,sasa najua kila hatua inamikakati yake,nilivyozoea kusoma secondary(Advanced) najua itakuwa tofauti kidogo na chuo....

Mliopita huko tupeni uzoefu
 
✓Hudhuria vipindi..Fanya assigment

✓Tenga muda wa kujisomea kila siku..go extra miles kwenye kila kitu

✓Acha kuiga maisha ya watu,ishi simple tu..

✓Tumia hela vizuri maana ukikosa hela hata shule haiwezi kupanda..

✓Usisome tu handouts,download vitabu vya kozi husika na uwe unavisoma..

✓Kikubwa cha msingi lakini ni kupata maarifa thabiti yatakayoweza kukusaidia kubadilisha maisha yako na jamii inayokuzunguka..na sio kupambana tu na njia za kukwepa sup au kufaulu vizuri..maana unaweza kufaulu vizuri hata kwa kufanya cheating
 
Masaa ma2 tu ya kujisomea kwa siku yanatosha kabisa kukwepa sup. Waza na lenga kufauru (A /B+) ukiwaza waza sup utazipata kwa wingi.
 
✓Hudhuria vipindi..Fanya assigment

✓Tenga muda wa kujisomea kila siku..go extra miles kwenye kila kitu

✓Acha kuiga maisha ya watu,ishi simple tu..

✓Tumia hela vizuri maana ukikosa hela hata shule haiwezi kupanda..

✓Usisome tu handouts,download vitabu vya kozi husika na uwe unavisoma..

✓Kikubwa cha msingi lakini ni kupata maarifa thabiti yatakayoweza kukusaidia kubadilisha maisha yako na jamii inayokuzunguka..na sio kupambana tu na njia za kukwepa sup au kufaulu vizuri..maana unaweza kufaulu vizuri hata kwa kufanya cheating
huyu jama kamaliza kila kitu nadhani mtoa mada umelewa
 
Nakumbuka UE flan nilipata karai kama 2 hv..nikasema karai mwisho..siri ni hz...usikose lecture(kumbuka mambo ni mengi unaweza usipite sehem zote ila kama ulikuwepo kwenye lecture chance ya kukumbuka ni kubwa kama hukupigia hyo topic kwa muda mrefu)...hakikisha kila siku una fanya discussions hata saamoja(discussion inaweza kusaidia kusoma topic mbili hata3 kwa muda mfupi)...usilalze kiporo kama mpo class na iktokea kipindi kimevunjika kwa sababu zozote basi vuta ktabu piga topic yako au rudia topic za jana kwa ufupi(peruzi)...cha mwisho kwangu mimi nilikua napenda kusoma kwa past paper hasa nikiwa mwenyewe ntasoma vtu vingi kwa wkt mmoja hasa ikiwa karibia na CAT au UE..baada ya kufanya hayo karai lilipita hv
 
Nakumbuka UE flan nilipata karai kama 2 hv..nikasema karai mwisho..siri ni hz...usikose lecture(kumbuka mambo ni mengi unaweza usipite sehem zote ila kama ulikuwepo kwenye lecture chance ya kukumbuka ni kubwa kama hukupigia hyo topic kwa muda mrefu)...hakikisha kila siku una fanya discussions hata saamoja(discussion inaweza kusaidia kusoma topic mbili hata3 kwa muda mfupi)...usilalze kiporo kama mpo class na iktokea kipindi kimevunjika kwa sababu zozote basi vuta ktabu piga topic yako au rudia topic za jana kwa ufupi(peruzi)...cha mwisho kwangu mimi nilikua napenda kusoma kwa past paper hasa nikiwa mwenyewe ntasoma vtu vingi kwa wkt mmoja hasa ikiwa karibia na CAT au UE..baada ya kufanya hayo karai lilipita hv
Asante ndg ushauri wako naenda nao
 
Asante Damian ushauri wako naenda nao...
✓Hudhuria vipindi..Fanya assigment

✓Tenga muda wa kujisomea kila siku..go extra miles kwenye kila kitu

✓Acha kuiga maisha ya watu,ishi simple tu..

✓Tumia hela vizuri maana ukikosa hela hata shule haiwezi kupanda..

✓Usisome tu handouts,download vitabu vya kozi husika na uwe unavisoma..

✓Kikubwa cha msingi lakini ni kupata maarifa thabiti yatakayoweza kukusaidia kubadilisha maisha yako na jamii inayokuzunguka..na sio kupambana tu na njia za kukwepa sup au kufaulu vizuri..maana unaweza kufaulu vizuri hata kwa kufanya cheating
 
✓Hudhuria vipindi..Fanya assigment

✓Tenga muda wa kujisomea kila siku..go extra miles kwenye kila kitu

✓Acha kuiga maisha ya watu,ishi simple tu..

✓Tumia hela vizuri maana ukikosa hela hata shule haiwezi kupanda..

✓Usisome tu handouts,download vitabu vya kozi husika na uwe unavisoma..

✓Kikubwa cha msingi lakini ni kupata maarifa thabiti yatakayoweza kukusaidia kubadilisha maisha yako na jamii inayokuzunguka..na sio kupambana tu na njia za kukwepa sup au kufaulu vizuri..maana unaweza kufaulu vizuri hata kwa kufanya cheating
Umemaliza mkuu,wasipoelewa hili watakuwa na shida zao tu
 
Nyie wote mnaongea tu sup huwa zinakuja tu
Hakunaga mtu anaependa kufeli bana

Unakuta somo kwako limekuwa gumu hulielewi
Hapo unakuta mwalimu nae ni chenga

Sup lazima upige tu,
 
Nyie wote mnaongea tu sup huwa zinakuja tu
Hakunaga mtu anaependa kufeli bana

Unakuta somo kwako limekuwa gumu hulielewi
Hapo unakuta mwalimu nae ni chenga

Sup lazima upige tu,
Wapo wanaomaliza chuo bila sup
 
Ilo nakubali 100%
but nasema kwa upande mwingne sup hakuna anaependa kupata mkuu huwa zinakuja by default tuu unajikuta kitu kimoo tayari

Sikupingi. Sijawahi kukosa supp chuo.. kila nikikomaa kitu imo.
 
Mkuu sup zikikuandama mpaka mwisho wa siku na zenyewe unaanza kuzizoea japo zikizidi 3 ni mwanzo wa stress

Sure, mimi nilikuwa napata mbaka zaidi ya 3, ila nakaza msuli nazichomoa zote, sijawahi ku carry.

Chuo hakielewiki.. ujanja ujanja mwingi.
 
✓Hudhuria vipindi..Fanya assigment

✓Tenga muda wa kujisomea kila siku..go extra miles kwenye kila kitu

✓Acha kuiga maisha ya watu,ishi simple tu..

✓Tumia hela vizuri maana ukikosa hela hata shule haiwezi kupanda..

✓Usisome tu handouts,download vitabu vya kozi husika na uwe unavisoma..

✓Kikubwa cha msingi lakini ni kupata maarifa thabiti yatakayoweza kukusaidia kubadilisha maisha yako na jamii inayokuzunguka..na sio kupambana tu na njia za kukwepa sup au kufaulu vizuri..maana unaweza kufaulu vizuri hata kwa kufanya cheating

✓Hudhuria vipindi..Fanya assigment

Muhimu sana hii
 
Back
Top Bottom