xpl0it
Senior Member
- Feb 21, 2014
- 124
- 88
- Thread starter
- #21
Hahaha! Sidhani kama kunatatizo lolote katika masomo aliyosoma, ishu hapa ni kwamba programming inahitaji mtu kujidhatiti na kufanya jitihada za hali ya juu kujifunza, inahitaji mbinu nyingi-hivo pia hilo sio jambo la kulisahau.Muulize amesoma masomo gani, wakati mwingine masomo ni msingi wa kusoma/kujifunza kitu.
Kama atakuwa na nia ya kujifunza na kuhitaji msaada wa mambo tofauti tofauti. Anaweza akatembelea vyombo mbalimbali vya habari kujifunza kama hizi forums na tutorials na kadhalika. Atapata kujifunza sana. Pia awe ni mtu wa kucode kila siku.

