Hatua za kuanza kujifunza Computer Programming.

Hatua za kuanza kujifunza Computer Programming.

Asante mkuu... Nimeipitia nikipata wasaa wa kutosha nitajiunga rasmi.

Karibu sana kaka katika kuelimisha watanzania ili kukuza soko hili la sayansi na teknolojia Tanzania.
 
Naomba kufahamishwa faida ya programming..... na km unaajiriwa kazi yako itakua nin?

Programming inafaida nyingi sanaaa, ila kiujumla inakusaidia wewe kusolve matatizo mbalimbali yanayokuzunguka katika jamii.

Anayefanya programming siku zote huitwa Programmer. Yeye huandika program hizi tunazoziona na kuzitumia sasa.

Hivo ukiajiriwa kama programmer kazi yako kubwa itakuwa ni kuandika program ambazo mwajiri wako au kampuni yako atataka uziandike.
 
Habari kaka! Hujaelewa sehemu gani labda nikueleweshe?
Mkuu inawezekana kujifunza programming kwa mtu ambaye hana knowldge ya kutosha ya komputer? Tuseme km nina only basic knowledge ya komputer??
 
Mkuu inawezekana kujifunza programming kwa mtu ambaye hana knowldge ya kutosha ya komputer? Tuseme km nina only basic knowledge ya komputer??
Hakika kaka... Inawezekana kabisa. nia ya kujifunza ipo utaweza... ila utatakiwa uingie class kupata ujuzi wa ziada na mbinu nyingine mbalimbali. ila programming ni somo ambalo yoyote anaweza akajifunza.

UNASWALI LOLOTE.. KARIBU UULIZE HackerHub | Forum Board
 
Napenda kuongezea kidogo hapo juu...
kwa mtu anaeanza baada ya kuchagua kugha...njia iliorahisi ni kutumia video...hio uelewa wake unakua mkubwa kuliko kusoma kitabu...inakua mtu km upo darasani kwa mara ya jwanza...tafuta video youtube au sehemu yoyote...enza na basics kabisa halafu endelea mbele.
1.basic ya hio programme uliochagua,inatumika wapi na kadhalika
2:fanya practicals za hio basic.
3:nenda level nyingine ..expert level
4:nayo fanyia practicals...
NB:
kawaida kwenye computer practices ndio msingi wa kuelewa vitu vizuri sn...sio nazaria
 
Mkuu mimi nataka kujifunza C language ila Machine yangu ni Mini laptop Specifications ziko chini sana ni kama tablet ivi naweza Kuweka izo software na zika run poa?
 
Mkuu mimi nataka kujifunza C language ila Machine yangu ni Mini laptop Specifications ziko chini sana ni kama tablet ivi naweza Kuweka izo software na zika run poa?
ndio kama computer yako inahard disk storage ya kuanzia 80GB na RAM atleast 2GB.. Program hizo hazina shida. Zitarun kabisa!!
 
Napenda kuongezea kidogo hapo juu...
kwa mtu anaeanza baada ya kuchagua kugha...njia iliorahisi ni kutumia video...hio uelewa wake unakua mkubwa kuliko kusoma kitabu...inakua mtu km upo darasani kwa mara ya jwanza...tafuta video youtube au sehemu yoyote...enza na basics kabisa halafu endelea mbele.
1.basic ya hio programme uliochagua,inatumika wapi na kadhalika
2:fanya practicals za hio basic.
3:nenda level nyingine ..expert level
4:nayo fanyia practicals...
NB:
kawaida kwenye computer practices ndio msingi wa kuelewa vitu vizuri sn...sio nazaria
NI KWELI KAKA!
 
Back
Top Bottom