Hatua ya BOT kuhakikisha riba inayotozwa na mabenki inashuka, inahusu na riba ya mkopo ya wafanyakazi itayotolewa na Mabenki ya Biashara?

Nilikwenda benki moja nikaambiwa mpaka sasa hawajapokea taarifa rasimi juu ya hilo na Meneja wa Benki akaonyesha wasiwasi kuhusu hatua hii ya BOT kama kweli itatekelezwa.
Kwa hiyo inawezekana hii ilikuwa ni siasa kama siasa nyingine?
 



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…