Hatua tano apitiazo mwanamke baada ya break up Vs mbili apitiazo mwanaume

Pole. Ukiwaza ya chumbani unatulia kama unanyolewa eeh
 
Pole.ukioa pengn hali hyo itapotea
 
Basi viumbe me ni viumbe dhaifu sana,
Sasa sijui kwa nini huu msemo huwa unatumika kama wasifu wa viumbe ke!
 
Huu uzi nahisi unatuhusu sisi wanawake .

Wanaume wa jf hawaumizwagi na mapenzi.
 
Npo kwny stage ya mwisho ya kujipendezesha, life's much funnier when u are free to do anything .
 
Kwa mwanamke no 1 had 4 ni sawa na kwa me hapo bila bila empty set
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…