Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,220
😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😉
Pole. Ukiwaza ya chumbani unatulia kama unanyolewa eehmh, umeongea kweli tupu hapa......yalinikuta hayo, mwanzoni sikuwa namfikiria wala kujali lakini kadiri muda ulivyoenda naye kumpata mwingine nikageuka kuwa kama mtumwa hivi......nikawa najikuta namfuatilia kwa sana yaani kujua maendeleo yao tu na nikisikia wamepiga hatua basi kawivu fulani kalikuwa kananishika. ilinisumbua miezi kadhaa kwakweli na mpaka leo bado hiyo hali hunitokea lakini hainisumbui sana. ilifikia wakati najenga picha kabisa ya anachomfanyia huko chumbani....ni shida kwakweli!!!
Pole.ukioa pengn hali hyo itapoteamh, umeongea kweli tupu hapa......yalinikuta hayo, mwanzoni sikuwa namfikiria wala kujali lakini kadiri muda ulivyoenda naye kumpata mwingine nikageuka kuwa kama mtumwa hivi......nikawa najikuta namfuatilia kwa sana yaani kujua maendeleo yao tu na nikisikia wamepiga hatua basi kawivu fulani kalikuwa kananishika. ilinisumbua miezi kadhaa kwakweli na mpaka leo bado hiyo hali hunitokea lakini hainisumbui sana. ilifikia wakati najenga picha kabisa ya anachomfanyia huko chumbani....ni shida kwakweli!!!
Kwa mwanamke no 1 had 4 ni sawa na kwa me hapo bila bila empty setWanawake:
1. Kukasirika sana (Anger)
2. Kuukataa ukweli (Denying)
3. Kumpunguza thamani ampendaye kwa kuongelea negative sides
zake (Bargaining)
4. Kuwa na mawazo mengi (depression)
5. Kujipendezesha Zaidi/kujaribu kutafta mwanaume bora zaidi
(Making a better self/trying to meet a better man).
Kwa wanaume ni tofauti:
1. Self-destruction signs are shown (Hupunguza kujijali na hata kujidhuru sometimes) or
2. Much more distressed (Kuwa na mawazo mengi sana kulinganisha na mwanamke) they suffer great pain than women due to unbearable loss!
Je, kuna ukweli wowote hapa?