Hatua inayofuata ni........

Hatua inayofuata ni........

enzo1988

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2018
Posts
2,491
Reaction score
9,671
Huyu mzee sijui anakitafuta kitu gani. Kitu kimoja ninachokiamini ni kuwa ukweli halisi wa kinachoendelea huko ni wao tu wakubwa ndiyo wanaufahamu. Inawezekana kabisa sijui kujiunga Nato, kuuondoa Unazi n.k ikawa ni picha ya nje lakini picha ya ndani wanafahamu ni wao tu!!!

Unatakiwa kufahamu kuwa dunia inaendeshwa kwa usiri wa hali ya juu mno ambao mimi na wewe hatuufahamu kwani siku zote huwa tunapewa picha ya nje tu na hapa ndipo inakuja dhana ya Ujasusi. Muda utasema!!!

Source:CNN May 03 2022

Putin may soon officially declare war on Ukraine, Western officials say


Russian President Vladimir Putin gestures during a press conference after meeting with French President in Moscow, on February 7, 2022. - International efforts to defuse the standoff over Ukraine intensified with French President holding talks in Moscow and German Chancellor in Washington to coordinate policies as fears of a Russian invasion mount. (Photo by Thibault Camus / POOL / AFP) (Photo by THIBAULT CAMUS/POOL/AFP via Getty Images)
 
Kuna Uzi fulani ,niliwahi kukoment ,kwamba ili Russia iwe salama ,Kuna ulazima kupeleka mashambulizi kiyv,bila kuipiga kyv na kuidondosha ,Putin ataendelea kushuhudia milipuko ndani ya Russia ,hasa kwenye maeneo potential .
 
Kuna Uzi fulani ,niliwahi kukoment ,kwamba ili Russia iwe salama ,Kuna ulazima kupeleka mashambulizi kiyv,bila kuipiga kyv na kuidondosha ,Putin ataendelea kushuhudia milipuko ndani ya Russia ,hasa kwenye maeneo potential .
Walau wewe unajaribu kuona uhalisia wa mambo,kuna Pro Putin wengine usishangae wakakupopoa kwa kejeli kwa hii comment yako
 
Moldovia lazima apewe dozi. Alafu anakuja kima anakwambia urusi imeishiwa silaha ha ha ha ha nusu ya vifaru vyote dunia ipo urusi hapo bado hatujagusa idadi ya makombora tofauti tofauti
... propaganda za western media hizo! Unaziamini?
 
Back
Top Bottom