Hatua 7 kuelekea udikteta kamili

Building a nation vs dictatorship : case study on Mwalimu Nyerere by Dr. E. Michael Jones


Source: E. Michael Jones

Huyu
Mzee akijulikana next time tutambambikia hata bangi maana anataka kumwaga mboga aje aseme mengine bureee
Na hatua kuu kabisa ni kuhakikisha elimu ya bure isiyo na viwango ili muendelee kuwa wapumbavu msiweze kuhoji haki zenu na kuchambua mambo ya maana
 
hahaaa anahusika vipi sas nahuu Uzi
au yeye ndiye aliyeuandika hahaa
Huu uzi unamuhusu sana. natamani ni-print harafu niwatumie pale magogoni kwa DHL. wait a minute.., nimepata wazo..nitalipia front page ya gazeti na ku-publish hii article! unaonaje mkuu, si itabamba?
 
Huu uzi unamuhusu sana. natamani ni-print harafu niwatumie pale magogoni kwa DHL. wait a minute.., nimepata wazo..nitalipia front page ya gazeti na ku-publish hii article! unaonaje mkuu, si itabamba?
Umesoma thread vizuri? Hebu rudia tena kusoma kwa umakini kuanzia point ya kwanza hadi ya mwisho kisha connect dot na nchi unayoishi. Ukipata jibu. Tuma sasa. Hakikisha umeweka fedha za kutosha kwa familia yako. Kesi ya uchochezi lazima ikuhusu ww
 
Huu uzi unamuhusu sana. natamani ni-print harafu niwatumie pale magogoni kwa DHL. wait a minute.., nimepata wazo..nitalipia front page ya gazeti na ku-publish hii article! unaonaje mkuu, si itabamba?
hahaa mnooo ukisha iprint nitumie namimi niione siku utakayo tuma pia nishuhudie
 
Back
Top Bottom