The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,594
- 3,590
Wachukue hao wanajeshi wakacheze huenda watabeba kombeIla ningekuwa Rais wa nchi, aisee wachezaji wote wa Taifa Stars baada tu ya hayo mashindano, ningewapeleka kwenye kambi mojawapo ya jeshi, ili wakafundishwe walau kwa wiki moja tu; masuala mbalimbali! Yakiwemo yale ya uzalendo na pia ukakamavu.