Sitaki kuamini wala siami kama ccm na kikwete wao watajaribu kubana hili,wakifanya hivyo wamekwisha
we shoga bitmkongwe umechakachuliwa akili hauko sawa kabisa jamani kuna mwenye CV ya uyu binadamu anipe niipitie?Na nyinyi hamuna wema kwa lolote lile analofanya JK. Mulitaka katiba mpya mumeambiwa itaandikwa, sasa si musubiri huo utekelezaji wake ndiyo museme?
we shoga bitmkongwe umechakachuliwa akili hauko sawa kabisa jamani kuna mwenye CV ya uyu binadamu anipe niipitie?
Nani kasema watanzania wengi wanataka katiba mpya?Ni poll gani imesema hivyo?Gimme a reputable polling institution ambayo imesema asilimia kubwa ya watanzania wanataka katiba mpya!..mlitulazimisha vyama vingi miaka ishirini iliyopita,mpaka sasa what has been done ni kutuletea CCM leftovers bungeni...Msipende kuforce mambo!Ulaghai wa Kikwete na mchezo wa karata tatu kuliangamiza azma yetu wananchi kutaka katiba mpya niliokua nikiwatahadharishe hapo Mwezi Januari ndio huu hapa.
Nani kasema watanzania wengi wanataka katiba mpya?Ni poll gani imesema hivyo?Gimme a reputable polling institution ambayo imesema asilimia kubwa ya watanzania wanataka katiba mpya!..mlitulazimisha vyama vingi miaka ishirini iliyopita,mpaka sasa what has been done ni kutuletea CCM leftovers bungeni...Msipende kuforce mambo!
We nawe mpaka msukumwe kwa vidole vitano ndo mseme, sasa si utulie watu tujadili, you don't have a will at all, kwanza mnafikiria nafasi zenu za burebure mtazipata vipi! Huo ni UKOMA kiakili!Na nyinyi hamuna wema kwa lolote lile analofanya JK. Mulitaka katiba mpya mumeambiwa itaandikwa, sasa si musubiri huo utekelezaji wake ndiyo museme?