Hatma ya Freeman Mbowe CHADEMA

Chief kwa hali ya kisiasa iliyo kwa sasa hpa nchini, siishauri chadema kufanya majaribio ya kiungozi kwa kumtoa mbowe!

Ni km meli ipo safarini bahari imechafuka hatari halafu mnampa unahodha captain ambaye bado in chipukizi. Kwa vyovyote vile meli lazima itazama.
 
Asante sana kwa ushauri wa Busara
 
Mkuu nilitegemea ungejibu hoja zangu. Ajabu sana ni kwamba umekimbilia kwenye porojo tupu.

Nikijibu paragraph ya 3,4 na 5 kwa pamoja. Mbowe ni Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA? Kama jibu ni hapana, je hao wengine waliachia madaraka baada ya kukamilisha kazi yao ya 'mageuzi'?
 
Kama kuna analysis zinafanyika na wanachadema wenyewe na kuona ivyo ni sawa kutokana na upepo wanasiasa naona hasa kama wanakubaliana kwa umoja wao lakini kama kuna wanaonung'unika ndani kwa ndani italeta shida mbele ya safari
 
Wewe ni mwanachama kindakindaki wa CCM.Kwa Mbowe Tumefika na Hatutamtoa mpaka pale tumechukua madaraka ya dola kisha tutampumzisha.Mark my words
 
Kama kuna analysis zinafanyika na wanachadema wenyewe na kuona ivyo ni sawa kutokana na upepo wanasiasa naona hasa kama wanakubaliana kwa umoja wao lakini kama kuna wanaonung'unika ndani kwa ndani italeta shida mbele ya safari
Wanachama asilimia 99% Tunamuunga mkono Mbowe.Na tunamtahadharisha tu Mbowe akithubutu kusema hagombei tena sisi wanachama kwa umoja wetu nchi nzima Tutavamia makao makuu na hatutaondoka mpaka atakapobadilisha uamuzi.
 
Mbwa koko wa lumumba watakuja na hasira mda si mrefu,ngoja tuwatie dole la kati ili watoe gesi kupunguza hasira
 
Much respect.
P
 
Wanachama asilimia 99% Tunamuunga mkono Mbowe.Na tunamtahadharisha tu Mbowe akithubutu kusema hagombei tena sisi wanachama kwa umoja wetu nchi nzima Tutavamia makao makuu na hatutaondoka mpaka atakapobadilisha uamuzi.
Nadhani hapa mkuu tumia umoja,usiwasemee wengine maana kuna wengine inawezekana wanataka mtu mwingine
 

KWA AWAMU HII YA KUKUKANYAGA KATIBA,

MSIFANYE MAJARIBIO. ANATAKIWA MTU MWENYE MSIMAMO THABITI.

MSIJEWEKA MWENYE NJAA KAMA WAITARA NA WENZAKE WAKAUNGA MKONO JUHUDI ZA KUIANGAMIZA NCHI.
 
Labda tumuwekee ubongo wa lemutuz ndio tunaweza kumuongezea muda mpka siku presha imtoe roho
Ukiangalia mazuri tu ya mke huwezi mwacha ,maana kila ukikumbuka mazuri yake unaweza sema hakuna mwanamke kama yeye na sitokaa nipate mke kama huyu...
 
Waliohama ni wale waliotoka lumumba na njaa kali kuja cdm kupata ubunge,wamerudi kwao ccm wakiwa wajinga zaidi kuliko walivyokua awali.angalia yule dc wa dom hana akili kama lemutuz,lusinde yani zero brain
Usisahau na idadi ya wabunge na madiwani waliohama wakati wa uongozi wake na wale " waliodhurika"
 
Ha ha ha ha ha, chama kinachoamini katika democrasia kinawezaje hata Kama wanachama hawajazungumzia kuacha kuweka kipengele Cha ukomo wa uongozi, wakati ni moja ya nguzo ya democrasia common huwezi kuwa mbumbumbu kiasi hiki, kwamba kilikuwepo ila walipofanya mabadiliko kikasahaukika bahati mbaya.
 
KWA AWAMU HII YA KUKUKANYAGA KATIBA,

MSIFANYE MAJARIBIO. ANATAKIWA MTU MWENYE MSIMAMO THABITI.

MSIJEWEKA MWENYE NJAA KAMA WAITARA NA WENZAKE WAKAUNGA MKONO JUHUDI ZA KUIANGAMIZA NCHI.
Kwa kweli Mbowe Tano Tena
 
Kila inapokaribia uchaguzi mkuu, hizi kelele na propoganda huanzishwa...



Cc: mahondaw
 
KWA AWAMU HII YA KUKUKANYAGA KATIBA,

MSIFANYE MAJARIBIO. ANATAKIWA MTU MWENYE MSIMAMO THABITI.

MSIJEWEKA MWENYE NJAA KAMA WAITARA NA WENZAKE WAKAUNGA MKONO JUHUDI ZA KUIANGAMIZA NCHI.
Hadithi ni ile ile. Inamaana CHADEMA haina idara makini za kutambua nani ana roho ngumu ya kuwa mpinzani halisi na sio mtu mwenye tamaa mpaka wampe uenyekiti mtu kama Waitara?

Sisi kama wananchi tunawezaje kuwaamini watu wasioaminiana wao kwa wao?
 
Natamani uchaguzi wa chadema uahirishwe hadi baada ya uchaguzi mkuu ili hizi ngonjera za idadi ya wabunge wasiojaa sebule ife.
Ninaamini Mbowe akija kugombea baada ya uchaguzi mkuu atajikuta ana wabunge labda watano kama zamani.
 

Mbowe Tano Tena

Chungu sana kwa CCM kama shubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…