Hapa Tunazungumzia mambo ndani ya CDM.Wewe unaweza pia kuianzishia mada hiyoPia Rais wa nchi akifanya mazuri, ukomo uondolewe ili aendelee kutawala mpaka pale wananchi watakaposema basi!
''visasi vya kijinga'' is a relative term! Kuna wanaoona Mbowe naye anaongoza vya visasi vya kijinga.Yanayochukiza kwa rais yeye ndiyo kiongozi WA nchi lakni anaongoza kwa visasi vya kijinga.
CDM ni chama cha wanachama wote. Kuna wengi tu hawakubaliani na uenyekiti wa maisha wa Mbowe.Hapa Tunazungumzia mambo ndani ya CDM.Wewe unaweza pia kuianzishia mada hiyo
Acha mfumo dume wewe.Haitakusaidia.Usipende kudharau sana kinamamaUkiangalia mazuri tu ya mke huwezi mwacha ,maana kila ukikumbuka mazuri yake unaweza sema hakuna mwanamke kama yeye na sitokaa nipate mke kama huyu...
Asante sana mkuu.Umesema yoteHakika sisi tuliokuwepo wakati ,wakati ambao chadema haikuweza kumsimamisha mgombea wa urais tunatambua jasho na damu aliyojitolea Mbowe kuijenga chadema na hata kulijenga taifa.Sikumbuki mwaka lakini nakumbuka kulikuwa na mkutano jangwani,wabunge wote wa kuchaguliwa walikuwepo pale na idadi yao ilikuwa wabunge wa tano tuu na Mbowe akiwepo,walilalamikia uchache wao na jinsi unavyowatesa bungeni.Nikiangalia leo kati ya wabunge hao watano wengine ni marehemu lakini baadhi yao wamekufa wakiwa tayari wamerudi ccm kutetea mkate wao na wengine wamepotea mfano Mheshimiwa.Mtungirehi.Aman Warudi Kabourou aliaga dunia akiwa ccm na hata kuwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa Kigoma.Issac Cheyo na na yule mwingine wa Bariad walirudi ccm na hata kupewa ukuu wa wilaya.Mbowe amebaki imara hadi leo.Hakika Mbowe na Chuma cha mjerumani na ni sauti ya zege kama alivyojitambulisha siku ile.Hakika Mbowe ni kiongozi shupavu .
Unaweza pia kuchukua fomu ukapimans ubavu ksma kweli wewe ni mwanachama.Hiki chama ni cha kidemokrasia kugombea hukatazwiNdo tumegota hapo na hivyo ndivyo tunavyowaza sie wana 'ufipa' ....aah we Mbowe endelea tu.
Niliwahi kukuahidi miaka mitano iliyopita kuwa sitajibizana na wewe kwa neno lolote maana kwa bahati mbaya tunafahamiana vyema na tunaheshimiana mno.Nikikujibu ninaweza kukuvunjia heshima bure.Naomba iendelee kuwa hivyoNo matter how good one is, ukifikia point of saturated solution, you can take no more than you can.
One can be very good and very instrumental ukafanya a lot of good things, lakini akifikia optimum ya uwezo wako, you can do no more good than you did.
Waasisi wa Chadema walioweka kipengele cha ukomo wa uongozi ni vipindi viwili vya miaka 5 mitano, ndani ya katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao nzuri tuu, lakini jinsi kipengele hicho kilivyo yeyuka into thin air kwa kunyofolewa kinyemela, leaves much to be desired.
Na ukiizungumzia tuu hoja ya ukomo, wanakushukia kama mwewe!.
![]()
Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa
Wanabodi, Uendeshaji wa vyama vya siasa nchini, unaongozwa na sheria, taratibu na kanuni. Ikithibitika pasipo shaka kuwa chama fulani, kinakiuka sheria, taratibu na kanuni, kinapaswa kuwajibishwa, kuadhibiwa hata kufutwa, kutegemeana na tuhuma halisi!. Miongoni mwa masharti ya usajili wa...www.jamiiforums.com
P![]()
GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
Wanabodi, Preamble: Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!, hii thread ni ya swali tuu, Hivi Chadema ilivyo, bado haijakabidhiwa nchi, inatoa...www.jamiiforums.com
Mbona haikuwaboost UMD,NRA au TLP??Wizi na umangimeza uliokuwa umeota mizizi CCM ndo uliipa boost CHADEMA na si mbowe .awamu ya tano itawarudisha huko yangu macho
Mke na siasa havina uhusiano!Ukiangalia mazuri tu ya mke huwezi mwacha ,maana kila ukikumbuka mazuri yake unaweza sema hakuna mwanamke kama yeye na sitokaa nipate mke kama huyu...
Mtungirehi hakuwa mbunge wa Chadema, alikuwa wa TLP ya Mrema.Hakika sisi tuliokuwepo wakati ,wakati ambao chadema haikuweza kumsimamisha mgombea wa urais tunatambua jasho na damu aliyojitolea Mbowe kuijenga chadema na hata kulijenga taifa.Sikumbuki mwaka lakini nakumbuka kulikuwa na mkutano jangwani,wabunge wote wa kuchaguliwa walikuwepo pale na idadi yao ilikuwa wabunge wa tano tuu na Mbowe akiwepo,walilalamikia uchache wao na jinsi unavyowatesa bungeni.Nikiangalia leo kati ya wabunge hao watano wengine ni marehemu lakini baadhi yao wamekufa wakiwa tayari wamerudi ccm kutetea mkate wao na wengine wamepotea mfano Mheshimiwa.Mtungirehi.Aman Warudi Kabourou aliaga dunia akiwa ccm na hata kuwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa Kigoma.Issac Cheyo na na yule mwingine wa Bariad walirudi ccm na hata kupewa ukuu wa wilaya.Mbowe amebaki imara hadi leo.Hakika Mbowe na Chuma cha mjerumani na ni sauti ya zege kama alivyojitambulisha siku ile.Hakika Mbowe ni kiongozi shupavu .
Rais Magufuli amechukua nchi kutoka kwa Kikwete shirika la ndege ilikiwa limekufa. Leo hii mandege yananunuliwa tu na shirika linaendelea kufufuliwa,tumenunua rada na miradi kibao inaendelea, hivyo basi rais Magufuli aendelee kutawala tu hata zaidi ya miaka 30. Mkuu mleta mada, si tunaenda sawa? Si ndicho unachomaanisha? |
Wewe kila ukisikia chadema naona kisharalwala kinapandaTundu Lissu hafai kuwa Mwenyekti wa Chadema kwa kuwa ana mpango wa kuungana na Wahaini wa Visiwan pamoja na Mbembe mmoja toka Ujiji Kigoma ili kumvunja moto Rais wetu kukomboa Nchi
Nadhani kwa sio muda muafaka,wasubiri uchaguzi upite then watafute mwenyekiti mwingineNi wakati muafaka sasa Mhe. Mbowe kuwapa wengine kijiti cha Uewenyekiti.
Huna hoja.Tulia TuUsisahau na idadi ya wabunge na madiwani waliohama wakati wa uongozi wake na wale " waliodhurika"
CDM haitachaguliwa kiongozi wake na vibaraka wa CCM.Hilo sahauOndoeni hata kipengele cha ukomo wa madaraka ili Mbowe awe mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA. Hiyo ndiyo aina mpya ya demokrasia mnayoijenga. Mmepewa nafasi ya kuchagua kati ya maji na moto, ni haki yenu kuchagua kadiri mnavyoona inafaa. Lakin katika hayo mkumbuke 2020 haiko mbali, wananchi wapenda demokrasia ya kweli TUTAWAABHIBU. Over.
Kwenye tafiti kuna kitu kinaitwa comparative reading yaani unalinganisha vitu viwili au vitatu na kuona kipi na kwa sababu zipi kimewapita wenzie.Wizi na umangimeza uliokuwa umeota mizizi CCM ndo uliipa boost CHADEMA na si mbowe .awamu ya tano itawarudisha huko yangu macho
Sisi wa kusini mwa bonde la ufa tunakwenda na wakili msomi aliyemwaga damu yake akiitetea Chadema mh Dr Tundu Antipas LisuHuna hoja.Tulia Tu
CDM haitachaguliwa kiongozi wake na vibaraka wa CCM.Hilo sahau
Mkuu Pascal Mayalla huwa unaheshimika sana hapa jukwaani na muda mwingine huwa unaongea kwa mafumbo lakini hapa Sidhani kama unaongea kwa parables maana upo clear kuwa CHADEMA imefuta kipengele cha uongozi.No matter how good one is, ukifikia point ya saturation unakuwa a saturated solution, you can take no more than you can.
One can be very good and very instrumental ukafanya a lot of good things, lakini akifikia optimum ya uwezo wako, you can do no more good than you did.
Waasisi wa Chadema walioweka kipengele cha ukomo wa uongozi ni vipindi viwili vya miaka 5 mitano, ndani ya katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao nzuri tuu, lakini jinsi kipengele hicho kilivyo yeyuka into thin air kwa kunyofolewa kinyemela, leaves much to be desired.
Na ukiizungumzia tuu hoja ya ukomo, wanakushukia kama mwewe!.
![]()
Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa
Wanabodi, Uendeshaji wa vyama vya siasa nchini, unaongozwa na sheria, taratibu na kanuni. Ikithibitika pasipo shaka kuwa chama fulani, kinakiuka sheria, taratibu na kanuni, kinapaswa kuwajibishwa, kuadhibiwa hata kufutwa, kutegemeana na tuhuma halisi!. Miongoni mwa masharti ya usajili wa...www.jamiiforums.com
P![]()
GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
Wanabodi, Preamble: Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!, hii thread ni ya swali tuu, Hivi Chadema ilivyo, bado haijakabidhiwa nchi, inatoa...www.jamiiforums.com
Rais Magufuli amechukua nchi kutoka kwa Kikwete shirika la ndege ilikiwa limekufa.
Leo hii mandege yananunuliwa tu na shirika linaendelea kufufuliwa,tumenunua rada na miradi kibao inaendelea, hivyo basi rais Magufuli aendelee kutawala tu hata zaidi ya miaka 30.
Mkuu mleta mada, si tunaenda sawa? Si ndicho unachomaanisha?
Asante sana mkuu.Uko makini sanaKwenye tafiti kuna kitu kinaitwa comparative reading yaani unalinganisha vitu viwili au vitatu na kuona kipi na kwa sababu zipi kimewapita wenzie.
Sasa wakati wa failure za CCM ipo CUF ambao ndio walijenga KUB ilikuwepo TLP na NCCR zenye nguvu sana sasa kivipi weakness ya CCM isababishe CHADEMA pekee ikue na sio hivyo vyama vingine vitatu?
Kwahiyo hapo lazima ukubali kwamba CHADEMA imefika hapa ilipo sio sababu ya failure za CCM pekee bali strategy za kuweza kujijenga kama chama mbadala kwa CCM kuliko vyama vingine vya upinzani.