Wanajamvi habari, mi ni kijana miaka 30 naishi Dodoma na Mpenzi wangu anaishi Dar. Tuko na zaid ya mwaka sasa kwenye mahusiano.
Mara nyingi huwa ye anakuja Dom na mara chache mi nashuka Dar kuonana nae. Mwezi wa 11 mwaka jana alikuja, baada ya kukutana nae wiki moja mbele nikaanza kusikia hali tofauti wakati wa haja ndogo, nikaenda pharmacy nikapewa dawa nikatulia. Sasa tena Mwaka mpya nilikuwa nae, baada ya kuachana ile hali ikarudia tena, sasa ikabidi niende Hospital kupima. Nikaambiwa ni ghono.
Nimefatilia chanzo cha gono kwa wanawake kwa baadhi ya makala, lakini kila makala nayosoma inasema chanzo ni sex with infected penis.
Sasa hapa mi najiuliza mara tatutatu, niko salama kweli na huyu binti? Au nachotafuta ntakipata?
Au Kuna namna mwanamke anaweza pata gonorrhea kutokana tu na maumbile yake nje ya sex?
Msaada tafadhari!!
Mara nyingi huwa ye anakuja Dom na mara chache mi nashuka Dar kuonana nae. Mwezi wa 11 mwaka jana alikuja, baada ya kukutana nae wiki moja mbele nikaanza kusikia hali tofauti wakati wa haja ndogo, nikaenda pharmacy nikapewa dawa nikatulia. Sasa tena Mwaka mpya nilikuwa nae, baada ya kuachana ile hali ikarudia tena, sasa ikabidi niende Hospital kupima. Nikaambiwa ni ghono.
Nimefatilia chanzo cha gono kwa wanawake kwa baadhi ya makala, lakini kila makala nayosoma inasema chanzo ni sex with infected penis.
Sasa hapa mi najiuliza mara tatutatu, niko salama kweli na huyu binti? Au nachotafuta ntakipata?
Au Kuna namna mwanamke anaweza pata gonorrhea kutokana tu na maumbile yake nje ya sex?
Msaada tafadhari!!