Hatimaye Yamenikuta

Hatimaye Yamenikuta

Your heart desires something new and you are looking for loopholes available so you can dump her.

It ain't easy as we always think.

To some, religions are sacred places, changing the religion would be like changing sex.

One thing I have noted his father changed a religion, and he feels cool walking-through the same path his father took, only the backlash from kinship.
 
Sio rahisi kama unavyofikiria
Nimegundua tatizo linaanzia kwako mwenyewe, bichwa maji - full king'ang'anizi.

Piga mimba huyo, kitimtim cha kulea kitakapoanza wenyewe watasarenda na kuwa lazimisha mkae pamoja.
 
Maisha ni yako hao wanaokutishia usibadili dini ikitokea leo ukaumwa ugonjwa seriously wakukulaza kitandani huduma zote muhimu hapo hapo kitandani hakuna hata mmoja atakaekuja japo kukugeuza na bado upo kwenye dini hiyo hiyo wanayoamini ni sahihi kwako.

Sisi binadam ni wanafiki sana,mara nyingi huwa tuna machozi ya nyani akiwa anauwawa ila ni hatari sana linapokuja tatizo ktk jamii zinazotuzunguka.nilichojifunza ktk dunia hii na ndicho ninachokiishi ni kwamba:Amani ya kweli haipatikani ktk kuwa na mahusiano mazuri na ndugu tu,hata binadam wengine wanaokuzunguka na marafiki zako tena hawa ndiyo wa muhim zaidi maana wanakuwa wengi kuliko hata hao ndugu na hawa kwenye matatizo ndiyo wanaojitoa kuhangaika.

Unadhani unaposikia mtu akiomba kuchangiwa matibabu na jamii yeye ndugu hana?ndugu anao wanajitenga ila unakuta kwenye masuala mengine yasiyowahusu wanakuwa wa kwanza kureact.ukifa hata akifa mkeo au akifa mwanao wao wakasusa kuna watu wanaokupenda nje yao,kuna watu wanaokujali nje yao tena wakati wakishiriki kinafiki kuna rafiki zako watakuwa na wewe bega kwa bega bila kujali dini yako.muhimu tengeneza marafiki na heshimiana na kila mmoja ktk jamii inayokuzunguka.

Ishi maisha yako,kikundi cha watu wachache kisikukoseshe amani ya moyo.hizo dini zipo tu na haijatokea hata mmoja ktk hao waamini Mungu akamtokea siku moja akamwambia "wewe hapa unaponiabudu ndiyo upo sahihi na yule hayupo sahihi" dini ni jinsi unavyoishi na jamii that's it!!!
 
Sijawahi kuwa na mahusiano wa kimapenzi na binti yeyote wa kiislamu ,akiniambia tu au nikijua genye zinaisha hapo hapo!kubadili dini kisa mapenzi ni udhaifu wa kiwango cha lami
 
Wakigoma kumzika si watanukiwa wenyewe na mzoga??
hahaa hahaa kwanza serikali haitowaacha Salama "" yaani wawanukishe watu wengine harufu !? wakati wanauwezo wakuizika ...."" yeye aoe tu .....mtoa mada nenda bomani kafunge ndoa..haya mambo ya dini yasikukoseshe utamu ....katika hizi Jamii zetu kuna watu wengi mnooo wanaoishi na wenza wasio wapenda kwasabbu ya kuachana na waliokuwa wanawapnda kisa tu dini zao zilikuwa nitofauti....

pumbavu kama dini ni Chakula mbona hamzili ""?
 
Baki na dini yako muacha abaki na dini yake. Watoto wafuate dini ya baba. Fanya maamuzi yako wewe binafsi na usimamie katika maamuzi yako.
 
Maisha ni yako hao wanaokutishia usibadili dini ikitokea leo ukaumwa ugonjwa seriously wakukulaza kitandani huduma zote muhimu hapo hapo kitandani hakuna hata mmoja atakaekuja japo kukugeuza na bado upo kwenye dini hiyo hiyo wanayoamini ni sahihi kwako.

Sisi binadam ni wanafiki sana,mara nyingi huwa tuna machozi ya nyani akiwa anauwawa ila ni hatari sana linapokuja tatizo ktk jamii zinazotuzunguka.nilichojifunza ktk dunia hii na ndicho ninachokiishi ni kwamba:Amani ya kweli haipatikani ktk kuwa na mahusiano mazuri na ndugu tu,hata binadam wengine wanaokuzunguka na marafiki zako tena hawa ndiyo wa muhim zaidi maana wanakuwa wengi kuliko hata hao ndugu na hawa kwenye matatizo ndiyo wanaojitoa kuhangaika.

Unadhani unaposikia mtu akiomba kuchangiwa matibabu na jamii yeye ndugu hana?ndugu anao wanajitenga ila unakuta kwenye masuala mengine yasiyowahusu wanakuwa wa kwanza kureact.ukifa hata akifa mkeo au akifa mwanao wao wakasusa kuna watu wanaokupenda nje yao,kuna watu wanaokujali nje yao tena wakati wakishiriki kinafiki kuna rafiki zako watakuwa na wewe bega kwa bega bila kujali dini yako.muhimu tengeneza marafiki na heshimiana na kila mmoja ktk jamii inayokuzunguka.

Ishi maisha yako,kikundi cha watu wachache kisikukoseshe amani ya moyo.hizo dini zipo tu na haijatokea hata mmoja ktk hao waamini Mungu akamtokea siku moja akamwambia "wewe hapa unaponiabudu ndiyo upo sahihi na yule hayupo sahihi" dini ni jinsi unavyoishi na jamii that's it!!!
Asante
 
Mkuu hili tatizo lipo kwa kiasi kikubwa sana,mm mwenyewe kwa nipo njia panda sana..mdada ni mwislam na mm ni mkristu( )dada yeye hata kesho yuko tayl kubadil dini na yeye ndio wimbo wake huo kuwa yeye abadili dini..kuna mjumbe kasema humu kuwa hili huwa ni kama rahana coz ukifuatilia kwa huyu dada mama yake alibadilishwa dininna baba yake miaka kadhaa wakatengana kila mtu akaolewa na kuowa kwa wazazi wake..mama yake anampa moyo kuwa abadili dini tu aolewe baba yake ndio nati tena nati hatal sana maneno ya vitisho vya kutosha..ukitizama mbali mambo haya yanaweza kuendelea hata kwa wanangu pia..binti tunapendana ki ukweli hasukumwi na mapenzi bali anasukumwa na upendo wakati mwingine huwaza kupiga chini mazima lakini nikiwaza machozi yake mda na jinsi ninavyo mpenda ni shida sana..ila mda si mlefu nafanya maamuzi makubwa sana..
 
Back
Top Bottom