Hatimaye Yamenikuta

Hatimaye Yamenikuta

Dini ni moja ya tatizo kubwa kabisa linaloitafuna africa na baadhi ya maeneo ya dunia.
Kwa kiswahili chepesi ni kwamba, "dini ndio upumbavu mkubwa uliobaki akilini mwa mwenye kuubeba"
 
Mbona hilo sio tatizo mkuu
Kuna ndoa za bomani mnaweza oana kila mtu akabaki na dini yake. Pia kamanhuyo dada ni mkristo wa RC kule inaruhusiwa kufunga ndoa ukabaki na dini yako muhimubni upendo

Alafu khs ndg kumbuka kwamba nyinyi ndio mnapendana na ndio mnaoenda kuishi pamoja wao ni mashahidi tu.
 
Mi nishabadilisha hadi kabila,baada ya kule nilipotaka kuoa kusema hawatupendi wamasai!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenijua kunivunja mbavu zangu walah kwa sasa ww ni kabila gani..
 
We lofa kabisa,unaleta true love enzi hizi. Ningekua karibu ningekulamba kofi
 
Hahaaa. Mwanaume kubadili dini kumfuata mwanamke kuna walakini. Binafsi nilishindwa kubadili dhehebu kumfuata my first fiancee tukaachana, mpaka leo ananililia
Mpaka leo anakulilia??? Akijua thamani yake atakuacha uende,binafs nimejifunza heri upate wq dini mnaendana inaepusha mikingano
 
Maisha ni ujasusi, ktk kutafuta maisha hususani kiuchumi au kimahusiano, hutakiwi kupuuza error yoyote unayoiona mwanzo, nilazima itakuja kukugharimu baadae.
 
Mkuu huo ndio ukweli Wengi tunapitia Mule mule walikopitia aitha babu zetu au Wazazi wetu.. Unaweza fanya maamuzi kwenye mahusiano ukadhani upo sahihi lakini kama ukifuatilia unakuta ni maagano ambayo mmoja wa Familia Yenu yalishatokea. Walioachana kwenye Mahusiano ulizia Kuna mmoja wa Wazazi aidha aliachwa na baadae akaolewa tena au mume aliacha na kuoa tena au aliacha baadae wakarudiana au vyovyote vile.. Usingo Parent ulizia ni muendelezo wa yale ambayo wazazi wa wahanga waliyapitia tu hakuna kinachotokea bila kuwa na mzizi.
ukitubu na kufuta hzo laana zote haziwezi kutokea tena kwa kizazi chako
 
Hahaha,nilifuata kabila la mke wangu,Mnyakyusa,na ukoo kabisa wakanitengenezea!

Hakuna linaloshindikana mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaa daaahh hiyo kali haya baba ugonile.
 
..acha ufala wewe!
.mjomba ana sauti yeye ndie aliebeba mimba?
 
Hapo ni dini mbili mafahali Romani Catholic and Islam zinasumbua tu hapa. Ila kwa kawaida mwanamke ndiye anatakiwa kubadili dini ila sasa kwa Moslems ni shida kubwa sana. Ila kwa mwanaume kubadili dini umfuate mke ni ubwege uliopindukia. Sitakaa nikubaliane na hili kabisa.
 
Back
Top Bottom