Hatimaye Yamenikuta

Hatimaye Yamenikuta

Dah....Chukua mzigo huo ...itikadi ni yako mwenyewe.


😀😀😀😀
 
Kuna wakati naliwaza hili lakini nilishafunga na kutubia sana kuhusu baadhi ya makosa ambayo aliyafanya mzee na yanaoneakana kujirudia kwenye familia
Mkuu huo ndio ukweli Wengi tunapitia Mule mule walikopitia aitha babu zetu au Wazazi wetu.. Unaweza fanya maamuzi kwenye mahusiano ukadhani upo sahihi lakini kama ukifuatilia unakuta ni maagano ambayo mmoja wa Familia Yenu yalishatokea. Walioachana kwenye Mahusiano ulizia Kuna mmoja wa Wazazi aidha aliachwa na baadae akaolewa tena au mume aliacha na kuoa tena au aliacha baadae wakarudiana au vyovyote vile.. Usingo Parent ulizia ni muendelezo wa yale ambayo wazazi wa wahanga waliyapitia tu hakuna kinachotokea bila kuwa na mzizi.
 
Hamna kilichokukuta. Nimpe pole huyo bi Dada. Yeye ndie yamemkuta.

That is just an excuse. Things did not happen suddenly.

Your heart desires something new and you are looking for loopholes available so you can dump her.
umewaza mbali..
 
''..Watanzania wanajifanya watu wa dini sana inapokuja kufanya maamuzi lakini sio kwenye maisha yao ya kila siku.."


Dini iliyokuruhusu ufanye ngono kabla ya ndoa bado unaithamini kiasi cha kuishi kwa masikitiko kisa utatengwa?!
Ishi maisha yako bro, nini kinafuata baada ya kifo?
 
Kwani dini inahusiana vip mkuu wew oa mzee kila mtu anabaki na imani yake. Dini zenyewe zimekuja na mashua tena na watu makatili zaidi ndio walikuja na hizo dini. huu ni mda wa kufungua hizo fahamu zenu
 
Humuolei jomba Mkuu kama Mama yuko nyuma yako OA tu baada ya kubadili dini.

Tatizo ndugu japo bi mkubwa anasema ananisupport kwa lolote nitakaloamua lakini wajomba wanagoma na sisi watu wa Pwani mjomba ana sauti kubwa
 
Nenda katazame movie ya Gadar epic....mle ndani yupo mtoto wa dhalmendra sin, karisma kapoor pamoja na mwanaume anayeitwa amri shipur.
Ukishaitazama uje na mrejesho hapa.
 
Hamna kilichokukuta. Nimpe pole huyo bi Dada. Yeye ndie yamemkuta.

That is just an excuse. Things did not happen suddenly.

Your heart desires something new and you are looking for loopholes available so you can dump her.
Sio rahisi kama unavyofikiria
 
Km baba ako aliweza kusimamia alichokipenda basi hata wew hushindwi, habari za ukifa cjui itakuaje hizo achana nazo maana kwanza hutokuwepo, pili ni lazima utazikwa ht km kwa kukutupia tu sawa maana umeshakufa lkn uliishi maisha uliopenda pindi ulipokuwa hai. Usianze kuwaza cjui kutengwa we Fanya kitu moyo unapenda. Maisha ni Mara moja hayarudii.
 
Back
Top Bottom